Tunahitaji mbadala wa CHADEMA utakao itoa CCM Ikulu

Tunahitaji mbadala wa CHADEMA utakao itoa CCM Ikulu

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,985
Reaction score
1,286
Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.
 
Sorry man,I cannot find a political party with better ideas than CHADEMA,It's just lacking a good leadership once that leadership problem sorted out CHADEMA will be a political force to be reckoned with.
 
hawa wahafidhina wa chadema wataelewa tu.

Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.
 
Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.

ngoja nile.jpg
 
Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.

Shillingi 3,600,000,000/= alizopewa ZITTO na CCM zikiisha sijui hicho chama chenu mtakiendesha kwa fedha kutoka wapi maana na CCM kwa sasa wamefulia ndio maana hata CHAUSTA walinyimwa fedha za kufanyia kampeni kule Kalenga.
 
Shillingi 3,600,000,000/= alizopewa ZITTO na CCM zikiisha sijui hicho chama chenu mtakiendesha kwa fedha kutoka wapi maana na CCM kwa sasa wamefulia ndio maana hata CHAUSTA walinyimwa fedha za kufanyia kampeni kule Kalenga.

na zile alizo hongwa mbowe zinafanya kazi gani???
 
Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.
Tuwasiliane ili uniombe vocha ya eti kujenga chama..vilivyopo vimeshindwa licha nyie.chama pekee kinachong'aa cha upinzani ni chadema.
 
Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.

Chama kinachofanya kazi kwa kubandika simu kwa madalali?Duh hii nchi inaelekea pabaya.Subiri picha za mkutano wenu zitawekwa kisha tuwapuuze tuendelee na mapambano yetu dhidi ya CCM.
 
Chama kinachofanya kazi kwa kubandika simu kwa madalali?Duh hii nchi inaelekea pabaya.Subiri picha za mkutano wenu zitawekwa kisha tuwapuuze tuendelee na mapambano yetu dhidi ya CCM.

Kamanda CDM mmekwisha kazi
 
Kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa CHADEMA wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi Upadri wa Wilbroad Slaa na Uchungaji wa Peter Msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa CHADEMA? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

CHADEMA imekuwa haina tafauti na CCM, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa CCM na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa CHADEMA chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa CCM madarakani lakini hatupendi kuingiza CHADEMA madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama ACT wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa CHADEMA wenye uwezo wa kuwa mbadala wa CCM, ACT ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu ACT, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.
Mkuu "ACT" Umesomeka, Lakini kwa namna unavyowasilisha ujumbe wako inathibitisha kuwa akili yako iko rehani. Sasa kama utaruhusu ningependa kwanza akili yako ikombolewe halafu ndio uingie kwenye mijadala inayohitaji kutumia akili kwa uhuru na ufanisi.

Hata hivyo kabla ya kujiumiza kwa maswali unayouliza,jiulize kwanza Je, ni kwa nini uanajeshi wa Jakaya Kikwete na Abdulrahiman Kinana haujasaidia kukomesha mauaji ya Tembo na maliasili zetu nyingine?

 
kwa kweli huwa najiuliza kwanini vijana wa chadema wanatukana sana matusi kwenye mitandao bila kupata jibu. Hivi upadri wa wilbroad slaa na uchungaji wa peter msigwa umeshindwa kurekebisha tabia chafu za hawa vijana wa chadema? Hata hivyo, ikiwa wameshindwa kudhibiti ubadhirifu na ukosefu wa maadili kwa viongozi wa makao makuu wataweza kwa wanachama?

Chadema imekuwa haina tafauti na ccm, ubadhirifu, ukosefu wa maadili kwa viongozi, matumizi mabaya madaraka na fedha za chama, ukanyagaji wa demokrasia, tuhuma za kujeruhi na kuua na akila aina ya uchafu tulizoea kuuyaona kwa ccm na serikali walio idhamini, lakini sasa hayo hayo tunayaona kwa chadema chama ambacho tulikiamini kupita kiasi.

Ndio maana, tunapenda kuitoa ccm madarakani lakini hatupendi kuingiza chadema madarakani. Kalenga kungekuwa na chama chenye kujitambua kama act wanakalenga wasingesita hata kidogo kuuondoa utawala wa kifalme na kuingiza utawala wa wavuja jasho. Ndio kusema wanakalenga wametambua kuwa unahitajika mbadala wa chadema wenye uwezo wa kuwa mbadala wa ccm, act ndio mbadala wenyewe, na bado.

Kwa swali lolote kuhusu act, ikiwa pamoja na upatikanaji wa kadi tafadhali tuwasiliane kwa namba hizo chini.

Njano5.
0784845394.
kwani mlikatazwa kwenda kalenga yetu macho tutawaona mzee, karibuni kwenye ulingo hamkatazwi na cdm nyie songeni mbele na hata adc walianza kama niny bendera karibu nchi nzima na kutukana cdm lakini leo mmmmh
 
Back
Top Bottom