Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,648
Huyu alikuwa ni katili balaaMbona kwenye List hakuna John Pombe Magufuli? Maana hakuna mwanasiasa muongo zaidi yake...
Zee la kujenga SGR kwa fedha zetu wenyewe..😂😂
Trilioni 390 za makinikia...
Kubangua korosho kwa mabomu