Mtimkavu huchimbwi dawa
Member
- Mar 31, 2018
- 27
- 16
Wazungu, wa Asia hawa wezi watuhujumu sana Waafrica...biashara huria, ukoloni , utumwa, na ubeberu mambo leo ni matone tu katika bahari...! sio Ulaya wala Asia: Adidu rejea ya maendeleo wala ustaarabu...ni sisi wenyewe kujikubali kama tulivyo...
Nani Malaika wa kumhukumu Ndg; Magufuli?
Karibuni ndugu lakini kumbuka swali haliangalii tu eneo la lugha au isimu na fasihi yake bali eneo zima la maendeleo katika uzoefu wa mtazamo wetu wenyewe, inachosha kasumba ya wengi kufanya Ulaya na Asia kuwa adidu rejea ya maendeleo ya Africa....Ajabu ndio wamekuwa mabingwa wa kutukosoa na kutuagiza ya kufanya
Lakini wanasahau wao ndio walio koroga maendeleo na ustaarabu wetu uliodumu zaidi ya miaka 10,000 kabla ya kuziwa kristo...kwa kifupi na kubaliana na Ncha ya Mkukina et al' kwamba mstaarabu asilia mtu mweusi...Donald Trump kanawia uso kopo la uwani
Nani Malaika wa kumhukumu Ndg; Magufuli?
Karibuni ndugu lakini kumbuka swali haliangalii tu eneo la lugha au isimu na fasihi yake bali eneo zima la maendeleo katika uzoefu wa mtazamo wetu wenyewe, inachosha kasumba ya wengi kufanya Ulaya na Asia kuwa adidu rejea ya maendeleo ya Africa....Ajabu ndio wamekuwa mabingwa wa kutukosoa na kutuagiza ya kufanya
Lakini wanasahau wao ndio walio koroga maendeleo na ustaarabu wetu uliodumu zaidi ya miaka 10,000 kabla ya kuziwa kristo...kwa kifupi na kubaliana na Ncha ya Mkukina et al' kwamba mstaarabu asilia mtu mweusi...Donald Trump kanawia uso kopo la uwani