Makaayamawe
JF-Expert Member
- Feb 21, 2009
- 341
- 9
Siyo CCM, CHADEMA, CUF au TLP ambacho kilivyo sasa kinaweza kuwa tumaini la Watanzania.
Mkuu MMJJ,
Pole sana maana naona umechelewa kuyaona haya hasa baada ya kutumika sana.
Kwa mtazamo wangu, hivi vyama vyote bado vinafaa sana bali vinahitaji ukarabati wa hali ya juu. Ushauri wangu kwa kifupi;
- CHADEMA: Mbowe aondolewe uenyekiti na nguvu ya baraza la wazee ipunguzwe. Nepotism ndani ya chama nayo ipigwe vita na ipewe adhabu kali.
- CUF: Lipumba na Maalim Seif waachie ngazi. Uundwe mkakati ndani ya CUF kupiga vita udini na kutoa adhabu kali kwa watakaoendekeza udini katika chama.
- TLP na vyama vingine: Wajiunge na wapinzani wenzao.
- CCM: MwanaCCM mmoja ajitolee mhanga na kumpiga risasi Kikwete ili tuondokane na hili balaa analolipalilia la ufisadi na kutowajibika. Wengine watakaofuata watanyooka.