Halafu kwa huu ujinga wa kutunga Sheria za kihuni, utakuta vyombo vya Dola vinaona fahari kuzuia maandamano ya wananchi. Matokeo yake wanaotunga hizi Sheria za kijinga hawajali lolote maana wanajua kuna wajinga wa vyombo vya Dola watawalinda.
Kuna watu kama wametolewa ubongo halafu wakajazwa mavi, tujibidishe kulea kizazi kipya kwa ubora zaidi zaidi ya malezi yetu, tunakwenda kuwajaza fedha hao wakongwe wenye utajiri wa kutisha tunawaacha watoto kwa kuwatibia bure, mavi +uharo.