Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,604
- Thread starter
-
- #61
Hii ni kweli mkuu, ilishawahi kunitokeaHiz stori za uwanga zinanikumbusha stori ya jamaa yetu mmoja bana alipataga mchepuko wa kitanga. bidada kawiva vzuri km maharagwe yale ya njano. sasa jamaa akashangaa akiwa na mchepuko anapiga mashuti na darizi kama zote ila sasa akirudi nyumbani mambo yanakuwa doro si kawaida (mnara hausomi hata chembe) ila akisema tu aende kwa ule mchepuko ebwanaee litapigwa ligwaride hata la usiku kucha. Jamaa akaona ndoa yake inaelekea mashakan akafanya maamuzi magum akampiga chini fasta yule mchepuko kuinusuru ndoa yake. haya mauchawi yapo pandugu.
Hahahahahah kwahio mie kichwa resi jamani
Naomba connection ya hao wamama.Kuna dada huwa nimezoea kumtania alinipa orodha ya jamaa tunao fanya nao kazi walio tengenezwa na wake zao (ni wamama wa nyumbani) duuna ukiwacheki washkaji wamepoa kinoma wanashinda nyumbani tu wakitoka job yaani ni zaidi ya makondoo,wanaume tunalishwa matakataka sana na hawa viumbe tulio watoa ubavuni.
Jinsia yako TafadhariSi wanawake tu kuna baadhi ya midume mingine hufanya hayo pia tena hasaaa wale MARIOO
Ipo siku yatawageukia na nyiesi ndio tunawaroga, huo ndio msaada.
Amina sana mama mtumishi.Tuombee sisi wadhambi ili tuache Upuuzi huo.Mnayataka wenyewe kwa kuhangaika kwenu. Kutaka kugusagusa kila muonacho mnaishia kugusa visivyoguswa
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Hayawezi, sie ni watulivu sana.Ipo siku yatawageukia na nyie
MeJinsia yako Tafadhari
Mkuu usipate tabu kuwaza sababu. Siku ya tukio nilikuwa kitaa na shangazi yangu sasa anti kapanda halafu mnene kiasi chake pumbavu lile kuona vile likahisi mi mario. Si likaomba eti nilitafutie jimama nalenyewe lilelewe!!!
Watulivu ndio watu wabaya zaidiHayawezi, sie ni watulivu sana.
Acha woga mkuu, inawezekana ni za ukooSiku hizo wanaume wanaongoza. Yaani nikigundua m wanaume ana chale sitaki hata story naye anaweza kukutoa kafara
weeee sitaki Koo za kichawi mimi!tatizo ulozi wa wanaume ni pro max😂wao uchawi wao ni kukutoa kafara kama sio wewe watoto.. ndio utajua hujuiAcha woga mkuu, inawezekana ni za ukoo
Mwandishi mwenyewe wa hio mithali alikuwa na Wanawake 1000 Masuriamia tatu wake mia Saba ebwanae uzinzi uendeleeAmina sana mama mtumishi.Tuombee sisi wadhambi ili tuache Upuuzi huo.
Labda kwa wale wanaotafuta utajiriweeee sitaki Koo za kichawi mimi!tatizo ulozi wa wanaume ni pro max😂wao uchawi wao ni kukutoa kafara kama sio wewe watoto.. ndio utajua hujui
Mods wananizimia tu style zangu, kumbe nikiwa ban unaniponda eehKumbe umerudi, nilikuwa nakusengenya najua haujarudi bwana!!
We ban kila siku unawafanya nini mods?
Kinachowasaidia wao hamwapendi kubeba tunguli nyingi mtaalamu anaambiwa nitakamatwa hivyo maliza huku huku mzigo unashuka sasa wanawake nazani nimalipo yanakuwa nusunusu haaa haaaKwenye uchawi siyo Wanawake tu hata Wanaume wapo wengi tu.
Tatizo mkiachiwa tu upenyo mnakuwa na miguu minne, sasa inahitajika timing tuKuna dada huwa nimezoea kumtania alinipa orodha ya jamaa tunao fanya nao kazi walio tengenezwa na wake zao (ni wamama wa nyumbani) duuna ukiwacheki washkaji wamepoa kinoma wanashinda nyumbani tu wakitoka job yaani ni zaidi ya makondoo,wanaume tunalishwa matakataka sana na hawa viumbe tulio watoa ubavuni.
Utawaogopa mpaka wapi kiu itakushika tu lazima utafute maji labda uache kula haaa haaa haaaNi wakuogopa hawa watu