Huo ni mfano tu yakhee..kulikuwa na Somo la sanaa...hata kuchora tu wanaweza kwa hapo ghorofani,Mkuu! Unabofya na kuandika ili chapisho ukiwa wapi?
Mimi na familia yangu tunaishi hapa PALM VILLAGE floor ya 5, hizi mboga mboga na kufuga tukuku na tusungura watoto watafanyia wapi.