Lkn akumbuke hakuna marefu yasiyo na ncha!!Kwa jinsi Melo alivyoelezea, huyu mtu anatumwa, analindwa, hagusiki kirahisi.
Ha ha haaa,mecheka kwa sauti.daa
Kila la heri Musiba, umefichua mengi, na nchi inasonga mbele. Yapo mengi ila Wengi wanahofia maisha kwa kusema ukweli. Yangesemwa tangu mwalimu aachie ngazi tungekuwa juu sana kiuchumi. Tz yetu sio tena shamba la bibi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umama huuKila la heri Musiba, umefichua mengi, na nchi inasonga mbele. Yapo mengi ila Wengi wanahofia maisha kwa kusema ukweli. Yangesemwa tangu mwalimu aachie ngazi tungekuwa juu sana kiuchumi. Tz yetu sio tena shamba la bibi.
Sent using Jamii Forums mobile app