Tumuombee apone na kurudi salama nyumbani!

Ni muhimu kujua kiongozi wetu anasumbuliwa na nini?huyo ni public figure jamani!sasa kwanza habari zenyewe zimefichwa ina maana hakuna mgonjwa hapo!sasa aombewe kwa ugonjwa upi?

Sasa unaji-contradict mwenyewe, nadhani wewe ndio ulikisia kuwa kaenda kubadilisha damu, ambapo kwa maana nyengine ni mgonjwa, hatuwezi kujua kama hizi habari za kwenda kutibiwa ni kweli au la, mpaka pale tukipata uhakika kwamba kweli anaumwa na amekwenda matibabu nje ndipo tuna kila haki (kama walipa kodi) ya kutaka kujua kinachomsibu na kwa sababu gani zilizopelekea kutibiwa nje? Kabla ya hapo conclusion yoyote utakayoifikia itasababishwa na Dhana tupu.
 
Sasa unaji-contradict mwenyewe, nadhani wewe ndio ulikisia kuwa kaenda kubadilisha damu, ambapo kwa maana nyengine ni mgonjwa, hatuwezi kujua kama hizi habari za kwenda kutibiwa ni kweli au la, mpaka pale tukipata uhakika kwamba kweli anaumwa na amekwenda matibabu nje ndipo tuna kila haki (kama walipa kodi) ya kutaka kujua kinachomsibu na kwa sababu gani zilizopelekea kutibiwa nje? Kabla ya hapo conclusion yoyote utakayoifikia itasababishwa na Dhana tupu.

Hivi wewe unasoma na kuelewa au ni wapi nimesema kaenda kubadilisha damu!kwenye post yangu kuna alama ya kuuliza au hujaziona?
 
Sikuandika Ulisema bali nilichokiandika ni Ulikisia nadhani labda wewe ndio hukusoma vyema.
 
Namuombea apate nafuu mapema. Lakini si tunaelewa first lady ni lazima awe na jopo la watu wa kumsindikiza (walinzi na family members), na ni lazima woote wafikie hotel yenye hadhi. Gharama zote hizi ni za mlipa kodi, hii ni hatari kwa uchumi wa nchi. Hatujui ni viongozi wangapi wanaosafiri kila mwezi kimya kimya for the same purpose. Wuuuuuii!! maskini watz!!!
 
as usual people never ask the right questions! na wengine they are best in dismissing kitu ambacho wangetakiwa kufuatilia! Well wengine are best at that!
 
Kila taxpayer ana haki ya kufahamu kuhusu ugonjwa wa mama Salma kwani gharama za matibabu yake zinabebwa na taxpayers hao.Si lazima kutuambia anaumwa nini bali angalau kutujulisha kwamba anaumwa.Sasa nyie mnaotaka tumwombee,mngejuaje kuwa anaumwa endapo Mwanakijiji asingedokwezwa na vyanzo vyake?Jibu jepesi ni kwamba hao wanaoguswa zaidi na ugonjwa huo hawakutaka suala hilo lijulikane kwa watu wengine kwa vile HALIWAHUSU.For that matter,kumwombea ni sawa na KUJIKOMBA au KUJIPENDEKEZA.Mtu asipokutaarifu kuhusu ugonjwa au msiba it means haoni umuhimu wa wewe kujua kuhusu hilo.So why bother kumuombea.

By the way,kulikuwa na tetesi kuwa Mama Lowassa nae alikuwa mgonjwa na ilikuwa siri kubwa.Sijui anaendeleaje,if the story was true in the first place.

Mnamuita "MAMA YETU"?Mbona huyo BABA YENU ameona NYIE WANAE hamna umuhimu wa kujulishwa afya ya MAMA YENU?Ugonjwa ni siri,so they say.If so,then suala la kumwombea nalo liwe siri.
 
Namuombea mke wa Rais mama Salma Kikwete ambaye yuko nje ya nchi (jina na hospitali vimehifadhiwa hadi serikali wakiamua kuwaambia!) kwa matibabu apone hima na kurudi nyumbani salama. Tunakutakia kila la kheri chini ya mikono ya madaktari ili Mnyezi Mungu akupe uzima na afya ya mwili.

M. M.

Khe kumbe first lady wetu anaumwa! Hii kwakweli ni kali hakuna habari yoyote jamaa wako kimya. Hawajui wabongo kodi zetu zinatumiwa kumhudumia lazima watujulishe bwana. Anyway hii ndiyo TZ mungu amjalie augue pole ili mkuu K aweze kufanya kazi zake vizuri na pia tusubiri confirmation kama ni kweli au la.
 
Wako binadamu wengine wanapata faraja wakiona mtu/watu wako kwenye matatizo..it make them feel much better knowing that there is someone else suffering apart from them. Pole first lady
 
Namuombea mke wa Rais mama Salma Kikwete ambaye yuko nje ya nchi (jina na hospitali vimehifadhiwa hadi serikali wakiamua kuwaambia!) kwa matibabu apone hima na kurudi nyumbani salama. Tunakutakia kila la kheri chini ya mikono ya madaktari ili Mnyezi Mungu akupe uzima na afya ya mwili.

M. M.

Ohh, Mw'mungu atamuafu, namuomba pia awajaalie nafuu ndugu jamaa na marafiki wote ambao, ama wanaugulia majumbani ama mahospitalini kwa baraka za mwezi huu mtukufu, Inshaallah..
 
Wakuu tusi-read too much out of nothing, kama ni kweli basi atakuwa amekwenda kwenye medical check-up ambayo ni kitu cha kawaida kwa viongozi wetu wa juu na wake zao, kwa mujibu wa katiba yetu,

basi sisi wananchi wa Tanzania tumuombee Mama yetu wa kwanza ili Mungu amnusuru na magonjwa na akutwe akiwa na afya njema, ili aweze kuendelea kumsaidia mumewe rais wetu wa jamhuri, katika maisha yao ya kawaida ya mume na mke, na pia kumsaidia kwa shughuli zake nzito za kuongoza taifa,

Mungu anasema kuwaombea sala viongozi wetu wa siasa na wake zao, ni acceptable kwake, maana ni yeye aliyewaweka kwenye power! Na results za uongozi wao ni where lile taifa stands with him, yaani God, kama ni taifa la wananchi wasiomjali Mungu basi atawapa viongozi mafirauni, and there is no butts about it!.

Mungu Amjalie Mama Yetu, na amrejeshe salama, Ahsante Sana Wakuu

Sina muda kabisa wa kumuombea mtu kama huyo. Nitafanya kazi ya kuwaombea watu wasio na uwezo wa kwenda kutibiwa nje ya nchi tokana na uhaba wa madawa na vifaa butu. Haiwezekani mapesa yetu yatumike katika matibabu ya hawa wakubwa na familia zao na tena tufanye kazi ya kuwaombea?. NO THANKS
 
Tell them! So unscientific.
Utabadili damu halafu pia utabadili na cells an kila kitu kwenye mwili?
Watu wanadhani mwili wa mwanadamu ni kama machine au engine ya gari kwamba utamwaga oil na kusafisha kila kitu na kuweka ingine.
Tujieleimishe kabla y aku speculate vitu.Utashangaa hata wasomi na madigirii yao wanaongea mambo ya kubadilisha damu!
Hivi hii theory ya kijiweni inatokana na nini hasa??

MNANISHANGAZA! Mnasema kubadilisha damu ni unscientific! Mnaishi wapi nyie? Nasita kusema, lakini nalazimika kutamka kuwa mimi mwenyewe nilishawahi kubadilisha damu! Sema sasa!
 
Sina muda kabisa wa kumuombea mtu kama huyo. Nitafanya kazi ya kuwaombea watu wasio na uwezo wa kwenda kutibiwa nje ya nchi tokana na uhaba wa madawa na vifaa butu. Haiwezekani mapesa yetu yatumike katika matibabu ya hawa wakubwa na familia zao na tena tufanye kazi ya kuwaombea?. NO THANKS

Mkuu sio masuala ya vita wala ugomvi, maana imani na kusali ni hiari na Mungu hakusema kuwa lazima asaliwe na wananchi wote, na masuala ya kusali sio ya kupiga tarumbeta kila mtu ajue, au?
 
huwa hakuna kitu kama kubadilisha damu. hizi ni theory tu za vijuwe vya mtaani

Hii kitu ya kubadilisha damu ipo, lakini nisingependa kuingia kwa undani zaidi. Lakini nafahamu Watanzania ambao wanafanyiwa hii kitu.

JMK ana safari nyingine ya US kama Salmb atakuwa hajapata nafuu ya kutosha anaweza kumpandisha 'cheo' mmoja wa mafirst ladies watatu waliobaki ili aende naye US.
 
I don't want to go too low, but I have to say that our presidential family is just having good time as much as they wish. Anything that can be used to justify their trips abroad is a fair game: normal medical check ups (even simple physical checkups), promotion of tourism in Brazil , to meet with Tanzanians living abroad, to learn if city of Tokyo has robbers, to ask Norwegians for assitance in evaluating our contracts, and so on.
 
Ni lini tutaboresha MWANANYAMALA HOSP, TEMEKE HOSPT, ili mtu kama yeye atibiwe pale kwa majivuno makubwa??

Pole Bi Salma
Kuna mabadiliko makubwa sana pale Temeke sasa kuanzia majengo na staff.
Wameongeza majengo pamoja na ghorofa kadhaa pale.What you see at Amana Hospital in terms of majengo na uboreshaji wa miundombinu ndani ya premises za hospital, ndiyo yanayoendelea Temeke.Sijui nani anaisimamia hii miradi anaweza kuona angalao kuna kitu fulani kinafanyika.Kwa Mwananyama Hospital siwezi comment chochote kwani sijafika muda kidogo.
 
HIVI hatuwezi kuwa na hospitali 2 au tatu za KIMATAIFA kwa maana madaktari watoke nje [ikiwemo Watanzania wanaotibu watu wa mataifa mengine] na kuwepo na vyombo vyote ila vile tu visivyoweza kuzuia mtu kufa tena vya kisasa ili tutoe huduma kwa nchi zote zinazotuzunguka na za mbali hasa zile ambazo kama sisi zinaamini kuna wagonjwa muhimu wa kutibiwa nje ya nchi na wagonjwa wa kawaida ambao hawastahili kutibiwa nje ya nchi.

Suala zima ni BIASHARA tu au mnataka kusema kuwa HALI YA HEWA YA MAJUU pia ni sehemu ya tiba ya mgonjwa basi Hospitali zijengwe Mporoto, Mbeya, Ilula, Iringa au Monduli, Arusha yaani kule kwenye Bardiiii kama Ulaya ulaya vile!

VINGINEVYO Mimi Waziri Kalala natilia mashaka uwezo wangu na uwezo wako wa kubadili nchi hii na maisha ya walalahoi japo walalahai kadhaa wananufaika na mfumo uliopo tena kwa mapana na marefu.

SERA zinazoweza kutuponya na makali ya utandawazi ni hizi za kuwa na hospitali za kisasa, shule za kisasa, vyuo vya kisasa, mahoteli ya kisasa, miji ya kisasa ambayo kwayo lazima watu wa nje watakuja tu kutumia hela zao hapa wakiwa hai au wamekufa!

Kazi kwenu!
 
excuse you me! As long as she is using tax payers money we have a legitimate right to know anaumwa nini, anatibiwa wapi, atapona lini nk. Period. Wewe na mimi ugonjwa ni siri zetu na madaktari kwa sababu inawezekana hatutumii hela ya mlipa kodi. Hizi theory zenu za secrecy ndo zimetufikisha hapa, watu wanakula kodi zetu harafu wanatusimanga eti haituhusu.. Ukishakuwa public figure inabidi ukubali scrutiny ya private life yako pronto. Privelege inaendana na responsibility. Yaani watu tugharimie huduma na msafara wa mama huko ughaibuni, harafu tuambiwe eti ni siri? This is beyond my comprehension....

embu wapashe hao machakubimbi wenye nidhamu ya uoga au niseme kujipendekeza, kwani hata fidel castro wa cuba japokuwa alikuwa mkali lakini ugonjwa wake ulitangazwa kote duniani ,sembuse tanzania ya jk.your true sisi wa tz ndiwo tunaogaramia matibabu yake kwa hiyo ni lazima kujua haya ni maradhi gani na yatatugharimu sh ngapi
 
Back
Top Bottom