Tumuombee apone na kurudi salama nyumbani!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Namuombea mke wa Rais mama Salma Kikwete ambaye yuko nje ya nchi (jina na hospitali vimehifadhiwa hadi serikali wakiamua kuwaambia!) kwa matibabu apone hima na kurudi nyumbani salama. Tunakutakia kila la kheri chini ya mikono ya madaktari ili Mnyezi Mungu akupe uzima na afya ya mwili.

M. M.
 
Namuombea mke wa Rais mama Salma Kikwete ambaye yuko nje ya nchi (jina na hospitali vimehifadhiwa hadi serikali wakiamua kuwaambia!) kwa matibabu apone hima na kurudi nyumbani salama. Tunakutakia kila la kheri chini ya mikono ya madaktari ili Mnyezi Mungu akupe uzima na afya ya mwili.

M. M.


Mama yetu apate nafuu kusudi JK apate muda wa kufikiria matatizo ya kitaifa kuliko ya kifamilia.

Je unajua kuwa sehemu fulani ya matatizo ya kiafya yanayowakumba wakubwa wetu yanatokana na wao kushindwa kuthibiti uzito wao, na kuwa viazi wasiofanya mazoezi yoyote?
 
Kama ni mgonjwa kwa nini wafanye siri. Mbona wengine tunatangaziwa mapema kabla hata ya kuondoka kwenda kwa hao mabingwa wa magonjwa ambayo wataalamu wa hapa kwetu wanaonekana kutoyaweza.
Mungu ambariki akapate kupona mapema,
 
Anaumwa nini?au kaenda kubadilisha damu?sasa apone mapema ugonjwa gani?tunatakiwa tujue anaumwa nini ili tunaposali tunautaja na ugonjwa halafu huo ugonjwa unateketea kwa nguvu za MUNGU!
 
Kama ni mgonjwa kwa nini wafanye siri. Mbona wengine tunatangaziwa mapema kabla hata ya kuondoka kwenda kwa hao mabingwa wa magonjwa ambayo wataalamu wa hapa kwetu wanaonekana kutoyaweza.
Mungu ambariki akapate kupona mapema,

Na mimi nazidi kuhoji, huyu kwa siku za karibuni alikaribia kupewa cheo cha kikatiba! Alitembelea mkoa fulani akapokewa na mkuu wa mkoa! Sasa iweje aumwe tusielezwe! Kwenye kuumwa Low profile, ila kwenye mengine....
 
Anaumwa nini?au kaenda kubadilisha damu?sasa apone mapema ugonjwa gani?tunatakiwa tujue anaumwa nini ili tunaposali tunautaja na ugonjwa halafu huo ugonjwa unateketea kwa nguvu za MUNGU!

First lady, taratibu hata kama kaenda kubadilisha damu whats the big deal? halafu you dont have any right ya kujua anaumwa nini, ugonjwa ni private matter ya mgonjwa na daktari na ikibi sana basi familia. sas wewe unataka kujua ili iweje? we muombee tu apone
 
First lady, taratibu hata kama kaenda kubadilisha damu whats the big deal? halafu you dont have any right ya kujua anaumwa nini, ugonjwa ni private matter ya mgonjwa na daktari na ikibi sana basi familia. sas wewe unataka kujua ili iweje? we muombee tu apone

Kama kungekuwa na umuhimu wa maombi wananchi wangetaarifiwa!hivyo basi hapa hakuna haja ya maombi!
 
First lady, taratibu hata kama kaenda kubadilisha damu whats the big deal? halafu you dont have any right ya kujua anaumwa nini, ugonjwa ni private matter ya mgonjwa na daktari na ikibi sana basi familia. sas wewe unataka kujua ili iweje? we muombee tu apone

Lasthope,
We need to know and is our right to question about the problem faced our first lady 'Mama Salma'. This is because of her status in our society as a first lady, there is no secrecy with sickness. How are we going to pray for her? we need to cast and mention the specific problem so that our almight God could hear our pray. God bless Mama Salma.
 
Pamoja na kuwa namuombea apate afueni huko alikoenda lakini ningependa kujua hawa wakubwa lini wataanza kutibiwa nyumbani? Tutawezaje kuwa na imani na madaktari wetu kama wao wanaonyesha wazi kutowaamini?
 
Chonde chonde

Naombeni sana asije akawa kapelekwa St. Thomas

Kwani St. Thomas imekuwa MWANANYAMALA ya Kibongo? maana ukienda mwananyamala huna hela na unaumwa ki'ukweli kweli jua ume'dead.

Mungu amjalie afya katika ugonjwa wake huooo
 
yes we may need to know whats bothering our first lady BUT its not right to to guess work of waht she is suffering from. Saying anaenda kubadili blood au pinpointing the unknown. JF is greater tha that guys not guess work.
 
Ni lini tutaboresha MWANANYAMALA HOSP, TEMEKE HOSPT, ili mtu kama yeye atibiwe pale kwa majivuno makubwa??

Pole Bi Salma
 
Mungu amjalie salama na heri ya kiafya mpenzi wetu Salma,amepitia mambo mengi mpaka kuwa First Lady hivyo check up na tiba toka kwa mabingwa ni haki yake mama yetu.

Nimesikitika tu kwa VILE NI MWEZI WA RAMADAN NA YEYE NI MUUMIN .

MUNGU AKUPE SIHA NJEMA AMEN
 
First lady, taratibu hata kama kaenda kubadilisha damu whats the big deal? halafu you dont have any right ya kujua anaumwa nini, ugonjwa ni private matter ya mgonjwa na daktari na ikibi sana basi familia. sas wewe unataka kujua ili iweje? we muombee tu apone

Ugonjwa ni private matter,kama kuna sababu ya kuambiwa nadhani wangesema na pia mambo mengine ni binafsi.hata kama anahudhuria clinic watu wanataka wajue,mbona makubwa hayo.We pray for recovery
 
Back
Top Bottom