Tumuangushe Godbless Lema 2015

Tumuangushe Godbless Lema 2015

Status
Not open for further replies.
Huyo MONOBAN si ndiye aliyepora NMC Arusha mali ya wavuja jasho.uliona wapi kiwanda kama NMC kinauzwa kwa bei ya kutupa?

Nani kakwambia amepora? ?? Acheni majungu ...hamtaki ndg zenu watanzania wawe na maendeleo? ?? Amekodishiwa NMC. Sijui ulitaka nmc ikae bila kufanya kazi ndio utaona raha ...
 
Huyo MONOBAN si ndiye aliyepora NMC Arusha mali ya wavuja jasho.uliona wapi kiwanda kama NMC kinauzwa kwa bei ya kutupa?


Mmezoea kuona wazungu,wahindi na waarabu wakimiliki makampuni na viwanda kwa wazawa kumiliki kiwanda kwenu hilo ni kosa kubwa.

Fanya utafiti upya huna habari sahihi.
 
Kama G Lema akizingua watu watato kura zao kwa chama kingine ila sio CCM kwani CCM haikubaliki katika jiji la Arusha toka mfumo wa vyama vingi vianzishwe so kama unandoto za CCM kushinda Arusha sahau kabisa labda iwe ndotoni lakini sio katika uhalisia wa kweli

Felix Mrema alikuwa mbunge wa chama gani 2005-2010?
 
Tajiri mkubwa wa mahoteli ya NAURA SPRING, IMPALA, NGURDOTO Bwana Mrema hataki hata kumsikia Lema. Vurugu za Lema zimesababisha mikutano mikubwa ya kimataifa kuhamishiwa Dar na hivyo mahoteli mengi ya Arusha kupata hasara

Hatuhitaji viongozi wanaopata uongozi kwa rushwa.Rushwa ya kununua uongozi ndiyo imetufikisha hapa tulipo.Hatuhitaji wafanyabiashara wala rushwa wawe viongozi wetu.
 
Mkuu CCM Arusha bado iko strong kuliko wakati wowote ule.
Mimi nina uhakika 100% kuwa mwaka 2015 jimbo la Arusha mjini na lile la Nasary yanarudi mikononi mwa CCM.

Wadanganye wasiojua siasa za Arusha. Magamba hamna nafasi tena.
 
arusha mjini iringa mjini na mbeya historia inaenda kuandikwa upya
 
Kama kuna watalii wamekuambia hawaji Arusha sababu ya Lema waambie "wapite hivi".
Kwa taarifa yako tukiambiwa tuchague kati ya Lema na utalii kimoja kiondoke Arusha tutasema utalii upotee.
Huyu mtu magamba mnamhanya sana pambaf zenu.
 
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.

Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.

Tembo mmewamaliza wenyewe kwa kumtumia dentist wenu.
 
Mkuu CCM Arusha bado iko strong kuliko wakati wowote ule.
Mimi nina uhakika 100% kuwa mwaka 2015 jimbo la Arusha mjini na lile la Nasary yanarudi mikononi mwa CCM.

Cc wana Arusha hakuna hasiye jitambua eti kuichagua ccm!,sahau kabisa
 
Godblee Lema akitaka asitake 2015 ataangukia pua....jimbo tunahakikisha tunalichukua au vinginevyo tunampa mgombea wa chama kingine kisicho na dira ya vurugu...Mimi binafsi natarajia kutangaza nia ya kurudi nyumbani na nitagombea naomba Mungu anijalalie chama changu kinipitishe katika kura za maoni... Hivi sasa tunaelekeza nguvu zetu kuhakikisha serikali za mitaa tunazizoa zote halafu pia madiwani tutahakikisha CDM wanaambulia sifuri...TUMECHOKA NA VURUGU NA FUJO TUNATAKA AMANI NA MAENDELEO
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.

Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.
 
Lema will be our MP... till we say otherwise...

Tuachieni Arusha yetu...

Kupungua kwa watalii ni kutokana na sera mbovu za CCM...

Via people's power...
 
Huku kuvifanya vyama vyetu kama dini ndiyo tunapokosea,maana mtu hakubali kuona chama chake kikikosolewa hata kama kweli kimekosea,tuache kuamini kwamba vyama ndiyo vitatuletea mafanikio.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom