bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,172
- 3,265
Huyo MONOBAN si ndiye aliyepora NMC Arusha mali ya wavuja jasho.uliona wapi kiwanda kama NMC kinauzwa kwa bei ya kutupa?
Nani kakwambia amepora? ?? Acheni majungu ...hamtaki ndg zenu watanzania wawe na maendeleo? ?? Amekodishiwa NMC. Sijui ulitaka nmc ikae bila kufanya kazi ndio utaona raha ...