Tumuangushe Godbless Lema 2015

Tumuangushe Godbless Lema 2015

Status
Not open for further replies.
Ni nani basi wa kumweka na aweze kumshinda lema? Mnataka kuangusha MBUYU kwa kutumia Visu? Akili ndogo hizo ndugu na hadi Mkuu wa kaya MUSIC wa Lema anaujua! Labda nendeni kwa Kigoma kwa kuwadi wenu.
wamekumbuka kuchezea koki mkuu... Mwakani wataoga sana
 
Kiushabiki ninajulikana kwa kuwafagilia sana CHADEMA.Chini ya kamanda G Lema Chadema ina mizizi imara kwenye jimbo hili la Kitalii.

Leo nataka niseme ukweli ambao CHADEMA hawatapenda wala kufurahia kuusikia.

Endapo CHAMA CHA MAPINDUZI kitachanga karata zake vizuri na kumleta mgombea ajilikanaye kwa jia la kampuni yake MONABAN hapo kuna uwezekano mkubwa wa mizizi na uimara wa CDM Kung'ooka kabisa jimboni Arusha.

Kwa sasa MONABAN ndiye Kamanda wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha.

Sifa nyingi za kumsaidia kushinda Ubunge anazo,
1.Rasilimali watu iko upande wake ANAO MAHUSIANO MAZURI NA WATU WOTE.
2.DINI zote wanamkubali kwa 87% na wasio na dini wanamkubali kwa 33%.
3.Ana uwezo mkubwa wa ushawishi na kuwafanya watu Arusha wadumu katika Umoja na Amani idumuyo.
4.Lengo na shauku yake ni kuona kila Raia anainuka kuichumi/Kimaendeleo.Mh.G.Lema anajua sana nguvu za huyu MONABAN.Jihadhari Mh.G.Lema Usije ota Kiburi CCM watashinda kirahisi na kihalali 2015 maana nguvu za mtu huyu sio za Fedha,ugali,chips na soda tu.
 
Kiushabiki ninajulikana kwa kuwafagilia sana CHADEMA.Chini ya kamanda G Lema Chadema ina mizizi imara kwenye jimbo hili la Kitalii.

Leo nataka niseme ukweli ambao CHADEMA hawatapenda wala kufurahia kuusikia.

Endapo CHAMA CHA MAPINDUZI kitachanga karata zake vizuri na kumleta mgombea ajilikanaye kwa jia la kampuni yake MONABAN hapo kuna uwezekano mkubwa wa mizizi na uimara wa CDM Kung'ooka kabisa jimboni Arusha.

Kwa sasa MONABAN ndiye Kamanda wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha.

Sifa nyingi za kumsaidia kushinda Ubunge anazo,
1.Rasilimali watu iko upande wake ANAO MAHUSIANO MAZURI NA WATU WOTE.
2.DINI zote wanamkubali kwa 87% na wasio na dini wanamkubali kwa 33%.
3.Ana uwezo mkubwa wa ushawishi na kuwafanya watu Arusha wadumu katika Umoja na Amani idumuyo.
4.Lengo na shauku yake ni kuona kila Raia anainuka kuichumi/Kimaendeleo.Mh.G.Lema anajua sana nguvu za huyu MONABAN.Jihadhari Mh.G.Lema Usije ota Kiburi CCM watashinda kirahisi na kihalali 2015 maana nguvu za mtu huyu sio za Fedha,ugali,chips na soda tu.

Tatizo sio mtu Arusha ila tatizo CCM haitakiwi Arusha sasa kama hauijui vizuri Arusha fatilia historia ya Jiji la Arusha
 
Tatizo sio mtu Arusha ila tatizo CCM haitakiwi Arusha sasa kama hauijui vizuri Arusha fatilia historia ya Jiji la Arusha
Weshaambiwa CDM hata ikisimamisha jiwe Arusha litashinda hawataki kusikia. Huyo msakatonge anatafuta njia ya kula pesa ya huyo tajiri.
 
Ni Historia gani isiyobadilika katika dunia hii?
CHADEMA sio Mungu chama Jimboni Arusha iweni makini mtapoteza kilaini kama mtadhani ninyi Mmelibinafisisha jimbo.
 
Ni Historia gani isiyobadilika katika dunia hii?
CHADEMA sio Mungu chama Jimboni Arusha iweni makini mtapoteza kilaini kama mtadhani ninyi Mmelibinafisisha jimbo.
jiandae kupoteza wewe
 
Chademaa jimbo la Arusha wameshhalipoteza siku nyingi wanasubiri mwakani walikabidhi tu.
 
CCM Arusha imejimaliza yenyewe kwa kukumbatia sera ya uzawa.

Kiushabiki ninajulikana kwa kuwafagilia sana CHADEMA.Chini ya kamanda G Lema Chadema ina mizizi imara kwenye jimbo hili la Kitalii.

Leo nataka niseme ukweli ambao CHADEMA hawatapenda wala kufurahia kuusikia.

Endapo CHAMA CHA MAPINDUZI kitachanga karata zake vizuri na kumleta mgombea ajilikanaye kwa jia la kampuni yake MONABAN hapo kuna uwezekano mkubwa wa mizizi na uimara wa CDM Kung'ooka kabisa jimboni Arusha.

Kwa sasa MONABAN ndiye Kamanda wa Vijana wa CCM Mkoa wa Arusha.

Sifa nyingi za kumsaidia kushinda Ubunge anazo,
1.Rasilimali watu iko upande wake ANAO MAHUSIANO MAZURI NA WATU WOTE.
2.DINI zote wanamkubali kwa 87% na wasio na dini wanamkubali kwa 33%.
3.Ana uwezo mkubwa wa ushawishi na kuwafanya watu Arusha wadumu katika Umoja na Amani idumuyo.
4.Lengo na shauku yake ni kuona kila Raia anainuka kuichumi/Kimaendeleo.Mh.G.Lema anajua sana nguvu za huyu MONABAN.Jihadhari Mh.G.Lema Usije ota Kiburi CCM watashinda kirahisi na kihalali 2015 maana nguvu za mtu huyu sio za Fedha,ugali,chips na soda tu.
 
Tajiri mkubwa wa mahoteli ya NAURA SPRING, IMPALA, NGURDOTO Bwana Mrema hataki hata kumsikia Lema. Vurugu za Lema zimesababisha mikutano mikubwa ya kimataifa kuhamishiwa Dar na hivyo mahoteli mengi ya Arusha kupata hasara
 
Huyo MONOBAN si ndiye aliyepora NMC Arusha mali ya wavuja jasho.uliona wapi kiwanda kama NMC kinauzwa kwa bei ya kutupa?
 
Ni Historia gani isiyobadilika katika dunia hii?
CHADEMA sio Mungu chama Jimboni Arusha iweni makini mtapoteza kilaini kama mtadhani ninyi Mmelibinafisisha jimbo.

Kama G Lema akizingua watu watato kura zao kwa chama kingine ila sio CCM kwani CCM haikubaliki katika jiji la Arusha toka mfumo wa vyama vingi vianzishwe so kama unandoto za CCM kushinda Arusha sahau kabisa labda iwe ndotoni lakini sio katika uhalisia wa kweli
 
CCM Arusha imejimaliza yenyewe kwa kukumbatia sera ya uzawa.

Mkuu CCM Arusha bado iko strong kuliko wakati wowote ule.
Mimi nina uhakika 100% kuwa mwaka 2015 jimbo la Arusha mjini na lile la Nasary yanarudi mikononi mwa CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom