assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #41
Yaani twiga wamepanda ndege napo ushahidi hamna ?.Acha utani.
unaruhusiwa kuwinda kisheria
Yaani twiga wamepanda ndege napo ushahidi hamna ?.Acha utani.
Wakoloni walisharudi kitambo ila wamebadili tu majina(wawekezaji/wahisani) na wanachuma kwa kadiri ya uwezo wao na hakuna wa kuwazuia ,nnaona unaruka ruka tu mithili ya kunguru kwani mada umeisahau ghafla ?.
Najibu namna mtu alivyojenga hoja
huu ni wasia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la arusha mjini.
jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii
tusifanye makosa tena tutajuta
huu ni wasia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la arusha mjini.
jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii
tusifanye makosa tena tutajuta
Upo sahihi mkuu,karibu PLAZMA~NYEGEZI KONA tuanze weekend! people'zzzzzzzzzzzzzz
huu ni wasia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la arusha mjini.
jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii
tusifanye makosa tena tutajuta
huu ni wasia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la arusha mjini.
jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii
tusifanye makosa tena tutajuta