Uwe nasubila na uwe unafkilia kwanza jua pesa znatoka zamiladi wanaizuia mafsadi ebu tizama wkipata rais wa ukawa itakua kama ulaya.uskurupuke2
Mbowe luzuku ya chama amefsadi usikulupuke2
Uwe nasubila na uwe unafkilia kwanza jua pesa znatoka zamiladi wanaizuia mafsadi ebu tizama wkipata rais wa ukawa itakua kama ulaya.uskurupuke2
Wewe mtu wa kimanzichana na Arusha wapi na wapi bhana ?
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.
Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.
Nataka mashabiki,wapambe,wafuasi,wapiga debe na mabest wa mh Godbless lema waniambie kwa maneno mafupi sana kazi huyu mbunge alizozifanya toka achaguliwe....staki emotions nahitaji facts.
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.
Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.
Uchimi wa Tanzania umepaa?
Mweyekiti analia kazi ya urais imemshinda anatamani akalee wajukuu na kuchunga ngombe.
Lumumba someni alama za nyakati
unatoka nje ya mada
Lema ameamsha vijana wengi sana na watu wengi tumejua haki zetu,unaposema eti utalii umeshuka kwa sababu ya lema sio kweli.kwani mbuga zinahama au milima inahama?lema yuko juu na arusha bado wanamuhitaji sana kama hauamini muulize Kinana anayezunguka mikoa yote lakini anaogopa kuja arusha kwa sababu ya lema.na pia sasa wananchi wengi wameelimika hakuna wa kudanganywa tena jamani
Mkuu ingependeza kama ungeshauri pia nani tumchague!!! Manake umeacha mada inaning'inia hewani!!!!!
Nani kakwambia amepora? ?? Acheni majungu ...hamtaki ndg zenu watanzania wawe na maendeleo? ?? Amekodishiwa NMC. Sijui ulitaka nmc ikae bila kufanya kazi ndio utaona raha ...
Lema kasababisha uchumi wa Arusha umeshuka sana, Watalii hawaendi tena Arusha kwa sababu ya vurugu za Lema na genge lake la wahuni