Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
arusha mjini itakombolewa
Na nani hawa wezi , wala rushwa, au mafisadi.Pole sana ndugu yangu nakuonea huruma.
arusha mjini itakombolewa
From CLIFF JANN
Ndugu wananchi naomba kupata wasaa wa kutembea nakuitazama TANZANIA ya leo katika kile tunachoita uhuru wa mawazo katika kila jambo pasipo kutizama muktadha wa nchi, muda mwingine kuvuma kwa upepo hakubadili kutokea kwa jua, TANZANIA imejaaliwa UPENDO NA AMANI....
MWANZO walivotujia tuliona vyema kubadili na kuwepo na USAWA kuwapa nafasi za uongozi katika vitongoji na kata na majimboni kwetu ili KULETA USAWA NA UTETETEZI WA WANYONGENA MASKINI WANAOUMIA mkapate kupaza sauti zao UMEKUWA KINYUME tena uvunjifu wa AMANI na maandamano yasiyokuwa na tija kwa taifa letu teule.
LEO KALAMU YANGU KWAKO MH GODBLESS JONATHAN LEMA. mwaka 2005 nilikuaa kinda nilipenda siasa zako msemakweli huchukiwa, msema uongo kama wewe ambao haudumu hushangiliwa ashakumu si matusi kwa sauti yako ya kimamlaka na hoja tengefu ila bahati haikuwa yako SIASA NI UPEPO NA KULINGANA NA WAKATI.
PUNDE UKAKIMBILIA CHADEMA PANGO LA MABADILIKO, VYANZO VYA VURUGU.
kwa sera zenye mashiko tulikukabidhi jimbo LAKINI HATA KIMOJA ULICHOTIMIZA, tangu ulipotuahidi kwenye kampeni zako 2010 , zimebaki simulizi kama za ALFU ULELA ULELA.
UMEKUWA HUISHI KUANDIKA WARAKA tena ZILIZOJAA UBAGUZI NA UNAFIKI WA DHAHIR. Umejaaliwa kuandika nakufananisha na JOGOO AMBAE HUAMKA MAPEMA LAKINI HAFUNGUI MLANGO.
UONGOZ NI MASHIRIKIANO NA UONGOZI ULIOPO KULETA MAENDELEO NI SI MIFARAKNO KWANI ARUSHA NI JIJI LA UTALII
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.
Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.
Dodoma kwenyewe sio ridhik tena humwoni Ndungai alivyokuwa mpole bungeni
Mwigulu Mwenye ushahidi wa mbinguni naona kaupeleka kuzimu kwa Ibilisi.mkuu vp ripoti ya mabomu arusha mbowe keshaipeleka au anataka watu waendelee kuuwawa
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.
Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.
siasa za vurugu zimepitwa na wakati
Huu ni wosia kwa wananchi wote wapenda maendeleo wa jimbo la Arusha Mjini.
Jimbo limepoteza hadhi yake ya utalii.Tusifanye makosa tena tutajuta.