Tumuangushe Godbless Lema 2015

Tumuangushe Godbless Lema 2015

Status
Not open for further replies.
Unadhani sijui, mziki kwenu ni maandamano na kupambana na polisi sasa hapo unadhani kuna maendeleo

Maandamano ni haki ya msingi ya kikatiba sasa kama kwako maandamano hayataleta maendeleo inafaa ujiulize ni kwa nini hawa watu wanaandamana.Sio Chadema pekee ndio wanaandamana walimu/wanafunzi/waandishi wa habari/madaktari/wafanyakazi/wakulima na makundi mengine mengi ioa inakuwa nongwa Chadema wakiandamana.

Suala la kupambana na police ni kukataa udhalimu wa jeshi kutumika kunyima haki za msingi zilizopo katika katiba,sio za kuomba ni za kutekelezwa hatutakubali kupokonywa kwa maslahi ya wahuni wachache.
 
Maandamano ni haki ya msingi ya kikatiba sasa kama kwako maandamano hayataleta maendeleo inafaa ujiulize ni kwa nini hawa watu wanaandamana.Sio Chadema pekee ndio wanaandamana walimu/wanafunzi/waandishi wa habari/madaktari/wafanyakazi/wakulima na makundi mengine mengi ioa inakuwa nongwa Chadema wakiandamana.

Suala la kupambana na police ni kukataa udhalimu wa jeshi kutumika kunyima haki za msingi zilizopo katika katiba,sio za kuomba ni za kutekelezwa hatutakubali kupokonywa kwa maslahi ya wahuni wachache.

ss maandamano yote hayazidi watu20 ni vibango hsyo sio maandamano ni matembezi
 
Delete CCM ndio mpango mzima.Safari hii serikali za mitaa ndio finishing ya ccm.time will tell
 
mkuu vp ripoti ya mabomu arusha mbowe keshaipeleka au anataka watu waendelee kuuwawa

Raisi anayo majina ya wauza unga hayajashughulikiwa ,anayo majina ya majangili na hajayashughuliki kwa maana ya kuchukua hatua kali za kisheria hicho unachoulizia unafikiri kitabadili hali ya mambo(hujuma) ?
 
ss maandamano yote hayazidi watu20 ni vibango hsyo sio maandamano ni matembezi

Kama sio maandamno ni matembezi kwa nini kila wakati mnaweweseka mkisikia Chadema wanaandamana !?.Mnatumia kodi zetu vibaya kuandaa polisi nchi nzima kuzuia matembezi ya Chadema !??????.Tulieni vivyo hivyo.
 
Raisi anayo majina ya wauza unga hayajashughulikiwa ,anayo majina ya majangili na hajayashughuliki kwa maana ya kuchukua hatua kali za kisheria hicho unachoulizia unafikiri kitabadili hali ya mambo(hujuma) ?

hupaswi kuficha ushahidi
 
Kama sio maandamno ni matembezi kwa nini kila wakati mnaweweseka mkisikia Chadema wanaandamana !?.Mnatumia kodi zetu vibaya kuandaa polisi nchi nzima kuzuia matembezi ya Chadema !??????.Tulieni vivyo hivyo.

mnapigia kelele watu wengine
 
Huu Upumbavu wenu ondoen hapa.
Weka uwiano wa watalii kwa mwaka 2009 na 2014 tuone.
Pili kama wamepungua Watalii Arusha basi ungembia wameongezeka Serengeti Mara, Mikumi Morogoro au Mkomazi Same vinginevyo huo ni wivu wa Kike.
Nairobi ilishambuliwa sana lakini wageni waliopita Kenyata Airport ni 4,300,000 wakati Dar kwenye Amani wameambulia 2,400,000.
Ccm kubalini kuwa mmepigwa bao Arusha.

Lema aliutangaza lini Utalii?
Umesahau CCM ndiyo mmemtuma Nyalandu ma Aunt Ezekieli kuutangaza utalii?

Haahaaaaa Mbaazi ikikosa Maua lawama kwa Jua.
 
Your wish is next to impossible mission to accomplish!

Kumbuka pia ule msemo unaosema dua la kuku halimpati mwewe.

Inajulikana wazi kuwa miongoni mwa wabunge wa CDM ambao magamba wasingependa kabisa warejee kwenye uchaguzi wa mwaka 2015, basi Godbless Lema anaweza kuwa top of the list.

Lakini magamba wanapaswa kuzingatia kwa makini ule msemo unaosema Mungu si Athumani!

CCM washamba sana,hapa Mwanza propaganda ya Wenje kuchuja imetamalaki na wao ndiyo vinara,but wakazi tunaona uhalisia ,sasa sijui anadanganywa nani but Mwanza CCM hawawezi nyanyuka no matter nani atagombea kupitia CDM
 
Kwani ni wapi kuna uchumi mzuri? Ccm+ policcm ni majanga kwa ustawi wa watanganyika
 
CCM washamba sana,hapa Mwanza propaganda ya Wenje kuchuja imetamalaki na wao ndiyo vinara,but wakazi tunaona uhalisia ,sasa sijui anadanganywa nani but Mwanza CCM hawawezi nyanyuka no matter nani atagombea kupitia CDM

Upo sahihi mkuu,karibu PLAZMA~NYEGEZI KONA tuanze weekend! people'zzzzzzzzzzzzzz
 
Lema kasababisha uchumi wa Arusha umeshuka sana, Watalii hawaendi tena Arusha kwa sababu ya vurugu za Lema na genge lake la wahuni

Acheni kufikiria kwa ktumia masaburi ninyi vilaza,hao watalii ambao hawaendi arusha ni wangapi takwimu umezitoa wapi?embu nenda tanapa wakupe takwimu embu acheni umburula.go go go lema,lema for life,cdm for life.
 
huyu jamaa hawezi rudi amedeliver poorly-%

Sasa kwa taarifa yako toka lema awe mbunge wa arusha mapato ya jiji yameongezeka na ndiyo maana kuna kipindi arusha ilitishiwa kupokwa hadhi ya jiji,barabara za lami zimejengwa,hakuna mauzauza halmashauri sasa unsposema ka deliver poor hata sikuelewi,embu acheni kufikiria kwa kutumia masaburi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom