Tumuamini Nani, Chadema Au Zitto Kabwe?

Tumuamini Nani, Chadema Au Zitto Kabwe?

Unataka tukutenge na hoja zako? Unadhani ni rahisi kumtenga tapeli na utapeli wake? Kimsingi, mdogo wangu Mchange, huna credibility ya kutoa hoja za kuikosoa CHADEMA. Kama ni kuwa na fisadi Lowassa, nawe ulimpigia kampeni Lowassa hasa maeneo ya Mailimoja, Kwa Mathias, Picha ya Ndege na hata nyumbani kwetu Visiga. Ulikuwa ukisema Ubunge upewe wewe, Urais apewe Lowassa. Si usaliti huo kwa chama chako?

Mdogo wangu Mchange, kama unataka kurudi kwenye siasa, jifunze uvumilivu wa Mnyika ambaye amevumilia ndani ya CHADEMA changamoto zote hadi sasa anaaminiwa. Usijiunge na vijana wanaokuwa vyamani halafu wanataka kuota mapembe haraka na kusahau kuwa kila chama cha siasa kina wenyewe. Vyama ni kama kampuni, zina waanzilishi wake. Unapojiunga navyo, uende taratibu kwakuwa wanachama wa kawaida wa mipaka yao.

Mchange, mdogo wangu, nakuasa kuacha siasa za tumbo zilizojaa utapeli, ulaghai na propaganda. Usisahau kuwa tupo tunaokujua kwelikweli kuanzia ulipokuwa unafanya biashara ndogondogo pale stendi ya mabasi Mailimoja Kibaha hadi kuibuka kugombea mara mbili Ubunge wa Kibaha Mjini. Kama mwenyeji wa Kibaha, nafahamu kuwa ni utapeli tu wa kisiasa ndio uliokupa vyote ulivyonavyo. Ni mweupe sana kichwani. Tetere vipi? Nenda taratibu bwanamdogo.

akijibu hizi tuhuma nitarudi
 
Ni kuishiwa na kufilisika kwa hoja kurudia mada iliyo humu JF. Kaka Fred Mpendazoe,wewe nawe sasa umekuwa kituko. Ni kama Mchange ambaye kila uchao huwa ni wa kulambalamba watu kwa uchu wa ngawira na madaraka

Iko wazi,kaka Mpendazoe umefulia vya kutosha. CHADEMA huwa inajidhalilisha kupokea na kuwaamini watu kama wewe na Mchange. Kazi yenu ni uanasiasa tumbo tu!
 
Ni kuishiwa na kufirisika kwa hoja kurudia mada iliyo humu JF. Kaka Fred Mpendazoe,wewe nawe sasa umekuwa kituko. Ni kama Mchange ambaye kila uchao huwa ni wa kulambalamba watu kwa uchu wa ngawira na madaraka

Iko wazi,kaka Mpendazoe umefulia vya kutosha. CHADEMA huwa inajidhalilisha kupokea na kuwaamini watu kama wewe na Mchange. Kazi yenu ni uanasiasa tumbo tu!
Alieleta thread na alieandika wote ni wahanga wa siasa za tumbo. Mchange alikuwa anajikomba kwa Zitto na huyu ngombe aliekatwa mkia kwa sasa anajikomba kwa Magu.Na ilaumu sana Chadema kubeba watu wa aina hii kipindi fulani nadhani kwa sasa wanatakiwa kujielewa na kufanya vetting nzuri kabla ya kusajili wanachama wanaotoka vyama vinginne.
 
Ni kuishiwa na kufirisika kwa hoja kurudia mada iliyo humu JF. Kaka Fred Mpendazoe,wewe nawe sasa umekuwa kituko. Ni kama Mchange ambaye kila uchao huwa ni wa kulambalamba watu kwa uchu wa ngawira na madaraka

Iko wazi,kaka Mpendazoe umefulia vya kutosha. CHADEMA huwa inajidhalilisha kupokea na kuwaamini watu kama wewe na Mchange. Kazi yenu ni uanasiasa tumbo tu!

Hakuna asiyekuwa mwanasiasa tumbo.

Tofauti ya wanasiasa ni rangi ya bendera ya vyama vyao tu mengine wanafanana.
 
Kwa akili zako unafikiri kulala kituo cha polisi ni sifa nzuri?

Jemedari huwa hakamatwi kamatwi hovyo.
Ni sifa mbaya sana na wanaokamatwa hovyo hovyo na serikali za kidikteta uchwara na kikaburu km vile Lissu na Mandela siyo majemedari.

Sifa nzuri ni kuwa rafiki na raisi dikteta uchwara na mwenyekiti wa chama tawala kilichokataza vyama vingine kufanya shughuli zao za kisiasa.

Seems una tatizo la low iq na mnufaikaji wa juma pumba mashudu
 
Fred hutapata cheo kwa kuiandama Chadema, dhambi yako ya usaliti kwa CCM kamwe haisameheki , utaandika sana usiku kucha lakini kamwe hutateuliwa kwa kigezo cha kuisakama Chadema kwani hata ulivyotoka CCM uliisakama hivyo hivyo kwa machapisho yako ya kihuni, HUTEULIKI.
 
Fulediiiii! Kama CDM inakuchefua sana basi unatakiwa uijenge CCM uliporudi. Sijaona andiko lako la kueleza huko ulipo mnaendelezaje chama chenu makinikia.
Hivi huwa mkitoka CDM huwa hamna cha kufanya? Weye na wenzio, hasa yule wa kiti maalum kule Songwe, kutwa CDM inawawasha machoni. What a shame!!
 
Ni kuishiwa na kufirisika kwa hoja kurudia mada iliyo humu JF. Kaka Fred Mpendazoe,wewe nawe sasa umekuwa kituko. Ni kama Mchange ambaye kila uchao huwa ni wa kulambalamba watu kwa uchu wa ngawira na madaraka

Iko wazi,kaka Mpendazoe umefulia vya kutosha. CHADEMA huwa inajidhalilisha kupokea na kuwaamini watu kama wewe na Mchange. Kazi yenu ni uanasiasa tumbo tu!
Kweli kabisa Mpendazoe sasa amefikia pahali pabaya kimaisha kiasi haoni tena aibu

In God we trust
 
Alieleta thread na alieandika wote ni wahanga wa siasa za tumbo. Mchange alikuwa anajikomba kwa Zitto na huyu ngombe aliekatwa mkia kwa sasa anajikomba kwa Magu.Na ilaumu sana Chadema kubeba watu wa aina hii kipindi fulani nadhani kwa sasa wanatakiwa kujielewa na kufanya vetting nzuri kabla ya kusajili wanachama wanaotoka vyama vinginne.
Upo sahihi sana mkuu hasa wale wanaokuwa wamewachwa kwenye teuzi za ndani ya chama

In God we trust
 
Ni ukweli uliowazi mleta mada ni mchumia tumbo, lakini pia hoja zake nyingi zina mashiko......kwa mfano linapokuja suala la unafki basi chadema watachuana na ccm ktk kinyang'anyiro cha kupata alama za juu kabisa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fred hutapata cheo kwa kuiandama Chadema, dhambi yako ya usaliti kwa CCM kamwe haisameheki , utaandika sana usiku kucha lakini kamwe hutateuliwa kwa kigezo cha kuisakama Chadema kwani hata ulivyotoka CCM uliisakama hivyo hivyo kwa machapisho yako ya kihuni, HUTEULIKI.
Cc:Fredy mpendazoe

In God we trust
 
Ni ukweli uliowazi mleta mada ni mchumia tumbo, lakini pia hoja zake nyingi zina mashiko......kwa mfano linapokuja suala la unafki basi chadema watachuana na ccm ktk kinyang'anyiro cha kupata alama za juu kabisa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm haina wa kushindana naye kwa unafiki duniani

In God we trust
 
Fulediiiii! Kama CDM inakuchefua sana basi unatakiwa uijenge CCM uliporudi. Sijaona andiko lako la kueleza huko ulipo mnaendelezaje chama chenu makinikia.
Hivi huwa mkitoka CDM huwa hamna cha kufanya? Weye na wenzio, hasa yule wa kiti maalum kule Songwe, kutwa CDM inawawasha machoni. What a shame!!
Mi nadhani kwa sasa cdm ndio kipau mbele kwa serikali badala ya kupeleka maendeleo kwa wananchi

In God we trust
 
Jamani mhurumieni Baba wa watu, kila thread anayoleta humu jukwaani anakumbana na upinzani wa hali ya juu. Kaka fredwaaa jipime na pima thread zako kabla hujaleta humu. Au huwa ukishapost ndio mazima hufuatilii michango? kwa maana kwa michango hii unayopata usingekuwa unarudia kupost humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom