MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Mkuu haiitaji uwe na degree kujua lowasa ni fisadi,ila kwakua mmejiweka kundi la kusafisha mafisadi sishangai ukihoji uchafu wa lowasa. WAULIZE VIONGOZI WAKO HUKO CHADEMA,ni vigezo gani walivotumia kumweka lowasa kwenye list of shame?NI USHAHID gani mnyika alikua nao kuhusu lowasa ni fisadi?please usiniulize mm juu ya uchafu wa lowasa,WAULIZE WALIOTUMIA MIAKA NANE KUMTANGAZA.Uchafu upi?? Unasema uchafu na ufisadi lakini hata huutaji ni upi. Taja ufisadi wake hapa ili tukuchambue na kuanika uongo wako.
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum