binjo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 2,115
- 1,240
Ni kuishiwa na kufilisika kwa hoja kurudia mada iliyo humu JF. Kaka Fred Mpendazoe,wewe nawe sasa umekuwa kituko. Ni kama Mchange ambaye kila uchao huwa ni wa kulambalamba watu kwa uchu wa ngawira na madaraka
Iko wazi,kaka Mpendazoe umefulia vya kutosha. CHADEMA huwa inajidhalilisha kupokea na kuwaamini watu kama wewe na Mchange. Kazi yenu ni uanasiasa tumbo tu!
Tuombe tu Mungu hawa Ccm,Chadema na Act waache uanasiasa tumbo maana hata hatujui tukiamin chama gani.