Agent-47
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 783
- 2,780
Kwa ustaarabu kabisa, tunamshukuru mama kutufikisha hapa baada ya taifa kupata msiba na mripuko wa gonjwa la COVID19. Tunamshukuru, pamoja na kuwa uongozi wake umegubikwa na kashfa nyingi za rushwa na ukiukwaji mkubwa wa haki z binadamu. Tunamshukuru, amefanya alivoweza na miaka hii minne imekuwa kipimo kizuri sana kama anafaa.
Ukweli na usemwe, mama hana uwezo (achilia mbali mambo ya rushwa na utekaji). She is utterly inept. Na tunaposema hatoshi hatusemi hivo kwa chuki wala ushabiki. Ni kwa roho safi kabisa ya kuwa tunahitaji kiongozi mpya anayeweza kutupush kwenda mbele.
Dunia ya sasa inakimbilia kwenye technlogy, ukiona mataifa yanavogombania uzalishaji wa chips kwa ajili ya kutengeneza AI data centers, clean energy, personalized medicine na mambo kibao. Siye bado tuna angaika na visima na street lights.
Leo nipo hapa Taiwan, hawa jamaa wameanza kutengeneza one of the largest data centers ambazo zitakuwa zina serve Dunia katika Ulimwengu wa AI. Inafurahisha sana kuona mambo kama haya yanafanywa na mataifa madogo-kumaanisha ya kwamba wakiwepo viongozi makini mambo yanawezekana.
Mama pumzika, unazo pesa za kula hata kama utaishi miaka mingine 200. Liachie taifa lipate akili mpya.
Ukweli na usemwe, mama hana uwezo (achilia mbali mambo ya rushwa na utekaji). She is utterly inept. Na tunaposema hatoshi hatusemi hivo kwa chuki wala ushabiki. Ni kwa roho safi kabisa ya kuwa tunahitaji kiongozi mpya anayeweza kutupush kwenda mbele.
Dunia ya sasa inakimbilia kwenye technlogy, ukiona mataifa yanavogombania uzalishaji wa chips kwa ajili ya kutengeneza AI data centers, clean energy, personalized medicine na mambo kibao. Siye bado tuna angaika na visima na street lights.
Leo nipo hapa Taiwan, hawa jamaa wameanza kutengeneza one of the largest data centers ambazo zitakuwa zina serve Dunia katika Ulimwengu wa AI. Inafurahisha sana kuona mambo kama haya yanafanywa na mataifa madogo-kumaanisha ya kwamba wakiwepo viongozi makini mambo yanawezekana.
Mama pumzika, unazo pesa za kula hata kama utaishi miaka mingine 200. Liachie taifa lipate akili mpya.