Huna facts jomba unabwabwaja tu..Nani aaiyejua kuongea haya..Rudi tena ukakaririshweNimemsikia akisema hizo habari za DNA na RNA nikakumbuka ile clip ya daktari mtanzania wa marekani alivyodadavua nikagundua mh askofu is trying too hard kujionesha kama yeye ana akili nyingi. Lakini tatizo mwisho anaonekana mbumbumbu kwa kuongea ujinga.