Askofu Gwajima, kuhusu Liganga umetuangusha!

MTAZAMO

JF-Expert Member
Feb 8, 2011
19,643
33,427
Askofu Gwajima,

Nimesikiliza mchango wako bungeni ukitetea mkataba wa hao wachina kuwa una manufaa makubwa na kwamba tusipo implement makubaliano tutashtakiwa!

Niwe mkweli, baada ya kusikia michango ya wabunge wengine nimekuwa very disappointed na Askofu Gwajima! Mkataba wa miaka mia moja, malighafi ya kwetu, mwekezaji aweke around 20% ya gharama za mradi na 80% iliyobaki tusaidiane kukopa halafu baadae adai more incentive na pia tumpe share 80%? Seriously unasimama kutetea?

Umetuvua nguo tuliobaki na imani kwako Askofu! Mradi wa Liganga kama mkataba ndio huo ni aibu kutokea mtu kuutetea! Mbunge wa Simanjiro ametuhumu hadi hao unaotetea hiyo kamati kuwa na weledi kuwa hata ufadhili wa ku visit au kufanya due diligence juu ya huyo mbia walifadhiliwa na mhusika! Unfortunately ukaendelea kukaza shingo kutetea maslahi ya huo mkataba!

Najisikia vibaya hilo kutokea kwa mtu aina ya Askofu Gwajima , Mungu atusaidie kama Taifa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Huo mkataba inaonekana Kikwete aliukwepa hapo mwishoni, JPM akaukwepa, Mama Samia pia hataki kabisa why hushtuki unaupigania?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kaka kama umwewah mwamini huyo jamaa you were very wrong.

Siku nyingi sana namuona kama mercenary.. whoever pay him will have his voice...

100 years mnazungumzia peanuts ya USD 1.5B , hana cha time value for money wala nini.... empty headed bumps..
 
Kaka kama umwewah mwamini huyo jamaa you were very wrong.

Siku nyingi sana namuona kama mercenary.. whoever pay him will have his voice...

100 years mnazungumzia peanuts ya USD 1.5B , hana cha time value for money wala nini.... empty headed bumps..
Dah! Sikutegemea angekwenda that low na pamoja na kupewa facts hakuchutama au kuweka benefit of doubt! Akakomaa na hoja zake za aibu kabisa!

Imagine ni Askofu huyu hata kama si kwa viwango tunavyokubali wengine lakini ana ABC za imani! Unapambania uongo wa dhahiri?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Askofu Gwajima,

Nimesikiliza mchango wako bungeni ukitetea mkataba wa hao wachina kuwa una manufaa makubwa na kwamba tusipo implement makubaliano tutashtakiwa!

Niwe mkweli, baada ya kusikia michango ya wabunge wengine nimekuwa very disappointed na Askofu Gwajima! Mkataba wa miaka mia moja, malighafi ya kwetu, mwekezaji aweke around 20% ya gharama za mradi na 80% iliyobaki tusaidiane kukopa halafu baadae adai more incentive na pia tumpe share 80%? Seriously unasimama kutetea?

Umetuvua nguo tuliobaki na imani kwako Askofu! Mradi wa Liganga kama mkataba ndio huo ni aibu kutokea mtu kuutetea! Mbunge wa Simanjiro ametuhumu hadi hao unaotetea hiyo kamati kuwa na weledi kuwa hata ufadhili wa ku visit au kufanya due diligence juu ya huyo mbia walifadhiliwa na mhusika! Unfortunately ukaendelea kukaza shingo kutetea maslahi ya huo mkataba!

Najisikia vibaya hilo kutokea kwa mtu aina ya Askofu Gwajima , Mungu atusaidie kama Taifa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ulichochelewa kufahamu ni hiki , Hakuna mwanaccm mwenye nia njema na nchi ya Tanzania
 
Watu walio sign hiyo ‘memorandum of understanding’ ya huo mkataba wanatakiwa kutafutwa na kuwekwa jela.

Maajabu ya Tanzania huko mbeleni utashangaa wanashindwa kuuvunja huu mkataba ambao ata aujaanza bila ya madhara, wameshitakiwa na wameshindwa kesi na wanadaiwa dollar sijui millioni ngapi.

Only in Tanzania

Huyo Gwajima ukimsikiliza ata anacho kitetea akielewi hivi mtu akiwekeza $3 billion, wewe una 20% share utapata $600 kila mwaka.

Akili zake zinamtosha mwenyewe gharama za uwekezaji zina uhusiano gani na kiwango cha chuma kitakacho zalishwa, au bei ya chuma sokoni, demand ya chuma na mambo mengine yanayoamua mapato ya mwaka.

Halafu huyu huko NEC kapata kura nyingi kushinda wakongwe kama kina Lukuvi, tells you CCM ni sikio la kufa hakuna tu huyo mbadala.
 
Ndivyo alivyo huyo jamaa!

Very disappointing!

Hata kwenye kutatua migogoro ya ardhi amekuwa kikwazo kikubwa sana Kwa kutetea wavamizi ambao kimsingi ni Wahalifu.

Sasa watu walitegemea kwa kuwa ni Mwana wa Mungu apendezwe na haki badala yake anatetea Wezi Na Waharifu.

Inashangaza na kusikitisha mno!
 
Askofu Gwajima,

Nimesikiliza mchango wako bungeni ukitetea mkataba wa hao wachina kuwa una manufaa makubwa na kwamba tusipo implement makubaliano tutashtakiwa!

Niwe mkweli, baada ya kusikia michango ya wabunge wengine nimekuwa very disappointed na Askofu Gwajima! Mkataba wa miaka mia moja, malighafi ya kwetu, mwekezaji aweke around 20% ya gharama za mradi na 80% iliyobaki tusaidiane kukopa halafu baadae adai more incentive na pia tumpe share 80%? Seriously unasimama kutetea?

Umetuvua nguo tuliobaki na imani kwako Askofu! Mradi wa Liganga kama mkataba ndio huo ni aibu kutokea mtu kuutetea! Mbunge wa Simanjiro ametuhumu hadi hao unaotetea hiyo kamati kuwa na weledi kuwa hata ufadhili wa ku visit au kufanya due diligence juu ya huyo mbia walifadhiliwa na mhusika! Unfortunately ukaendelea kukaza shingo kutetea maslahi ya huo mkataba!

Najisikia vibaya hilo kutokea kwa mtu aina ya Askofu Gwajima , Mungu atusaidie kama Taifa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Bahasha.. ni muendelezo wa wapigaji wa plea bargaining.

Na hiyo ni mikataba ya enzi ya jiwe na Kabudi waliokuwa wanakaa kutwa nzima kwenye TV kudanganya watanzania
 
Askofu Gwajima,

Nimesikiliza mchango wako bungeni ukitetea mkataba wa hao wachina kuwa una manufaa makubwa na kwamba tusipo implement makubaliano tutashtakiwa!

Niwe mkweli, baada ya kusikia michango ya wabunge wengine nimekuwa very disappointed na Askofu Gwajima! Mkataba wa miaka mia moja, malighafi ya kwetu, mwekezaji aweke around 20% ya gharama za mradi na 80% iliyobaki tusaidiane kukopa halafu baadae adai more incentive na pia tumpe share 80%? Seriously unasimama kutetea?

Umetuvua nguo tuliobaki na imani kwako Askofu! Mradi wa Liganga kama mkataba ndio huo ni aibu kutokea mtu kuutetea! Mbunge wa Simanjiro ametuhumu hadi hao unaotetea hiyo kamati kuwa na weledi kuwa hata ufadhili wa ku visit au kufanya due diligence juu ya huyo mbia walifadhiliwa na mhusika! Unfortunately ukaendelea kukaza shingo kutetea maslahi ya huo mkataba!

Najisikia vibaya hilo kutokea kwa mtu aina ya Askofu Gwajima , Mungu atusaidie kama Taifa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app



Hivi mtu unaanzaje kuwa na imani na huyu muhuni?
 
Umetuvua nguo tuliobaki na imani kwako Askofu! Mradi wa Liganga kama mkataba ndio huo ni aibu kutokea mtu kuutetea! Mbunge wa Simanjiro ametuhumu hadi hao unaotetea hiyo kamati kuwa na weledi kuwa hata ufadhili wa ku visit au kufanya due diligence juu ya huyo mbia walifadhiliwa na mhusika! Unfortunately ukaendelea kukaza shingo kutetea maslahi ya huo mkataba!
Kwanini mikataba inasainiwa mafichoni?
 
Askofu Gwajima,

Nimesikiliza mchango wako bungeni ukitetea mkataba wa hao wachina kuwa una manufaa makubwa na kwamba tusipo implement makubaliano tutashtakiwa!

Niwe mkweli, baada ya kusikia michango ya wabunge wengine nimekuwa very disappointed na Askofu Gwajima! Mkataba wa miaka mia moja, malighafi ya kwetu, mwekezaji aweke around 20% ya gharama za mradi na 80% iliyobaki tusaidiane kukopa halafu baadae adai more incentive na pia tumpe share 80%? Seriously unasimama kutetea?

Umetuvua nguo tuliobaki na imani kwako Askofu! Mradi wa Liganga kama mkataba ndio huo ni aibu kutokea mtu kuutetea! Mbunge wa Simanjiro ametuhumu hadi hao unaotetea hiyo kamati kuwa na weledi kuwa hata ufadhili wa ku visit au kufanya due diligence juu ya huyo mbia walifadhiliwa na mhusika! Unfortunately ukaendelea kukaza shingo kutetea maslahi ya huo mkataba!

Najisikia vibaya hilo kutokea kwa mtu aina ya Askofu Gwajima , Mungu atusaidie kama Taifa

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Shida sio hisia zako, au hizo figure uliweka hapo na namna gani tunanhonywa, shida ni vifungu vya sheria na makubalino, Bunge lote ni ccm, na walioingia mkataba ni ccm, na wote wanaupinga, baada ya kuupinga hakuna atakayewajibishwa kwa kufanya mkataba wa bure, Bora Gwajima, at least kafanya jambo la tofauti kidogo.
 
Huo mkataba inaonekana Kikwete aliukwepa hapo mwishoni, JPM akaukwepa, Mama Samia pia hataki kabisa why hushtuki unaupigania?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Hebu kwanza, labda kuna nisilolielewa vizuri kwenye mada hii.
Mradi unaozungumziwa ni ule wa Liganga na Mchuchuma?

Kama ni huo, mbona kuna wabunge wako mbele kwa mbele kuusukuma mradi huo; kwa nini lawama zisianzie kwenye ile Kamati ya Silaa inayotafuta njia ya kuuondoa kwenye Commission ya Rais, ambayo imeukalia na wanataka upelekwe NDC?

Huoni kuwa kuna kundi kubwa hapa linalofanya njama za hujuma, hadi wizara husika wamemeza ndoana?

Huyo Gwajima ni sehemu ndogo tu ya kundi zima lililo nyuma ya mradi wenyewe.

Hata hivyo, kama rais naye hautaki huo mkataba, kwa nini aunyamazie huku watu wakiujongea? Huoni tatizo linaanzia huko?
 
Back
Top Bottom