Umeweza kama Mimi Mkuu. Nilitaka kuanzisha Uzi kama huu. Huyu Mzalendo aliyepinga Corona hazarani je huu mikataba fake hauoni.?Binafsi sijamsikia Gwajima Askofu akitoa msimamo wake kuhusu Mkataba wa DP World kama alivyotoa msimamo wake kuhusu Chanjo ya corona.
Naomba kwa yule aliyewahi kumsikia akuje hapa anitaarifu.
kashafukizwa na udi wa Bunge ataongea nini.. dawa ya maskini mpiga mayowe ni pesa tuuu...Binafsi sijamsikia Gwajima Askofu akitoa msimamo wake kuhusu Mkataba wa DP World kama alivyotoa msimamo wake kuhusu Chanjo ya corona.
Naomba kwa yule aliyewahi kumsikia akuje hapa anitaarifu.
Kwake sasa ni kheri kunyamaa kuliko kusema.Umeweza kama Mimi Mkuu. Nilitaka kuanzisha Uzi kama huu. Huyu Mzalendo aliyepinga Corona hazarani je huu mikataba fake hauoni.?
Ukimya wake unafikirisha Sana Tanzania tuna safari ndefu. Kama mtu kaonja utamu wa hela ya ubunge kaamua kukaa kimya...
Means Mtu yeyote anahongeka na kukaa kimya Nchi hii. Wazalendo ni wachache sana
MBona mwenzake alizungumza mapema tuYeye ni Askofu sasa anaweza kutafsiriwa vinginevyo!
Hata hiyo Corona aliunga mkono maoni ya Mwenyekiti wake wa wakati huo.Umeweza kama Mimi Mkuu. Nilitaka kuanzisha Uzi kama huu. Huyu Mzalendo aliyepinga Corona hazarani je huu mikataba fake hauoni.?
Ukimya wake unafikirisha Sana Tanzania tuna safari ndefu. Kama mtu kaonja utamu wa hela ya ubunge kaamua kukaa kimya...
Means Mtu yeyote anahongeka na kukaa kimya Nchi hii. Wazalendo ni wachache sana
Kwenye chanjo kumbe alikuwa na hoja na alisikilizwa kinamna.Hata hivyo kukaa kimya katika baadhi ya hali ni bora zaidi kuliko kuropoka,Gwajima anatafutiwa sababu ameamua kukaa kimya
Pia yeye ni mbunge, hapo ndipo alipojifungia.Yeye ni Askofu sasa anaweza kutafsiriwa vinginevyo!
Kwa hiyo, ndiyo kusema ni mwoga, ameufyata.Gwajima anatafutiwa sababu ameamua kukaa kimya
Muda utafika saa ngapi.Labda wakati wake wa kuongea haujafika...
Subiri zamu Yako ikiwadia, utafufuliwa.Anawaza namna ya kufufua misukule.
Ni mwanasiasa lakini tena mbunge. Tusikie msimamo wake juu ya rasirimali za nchi. Mwenzake Musukuma tushajua msimamo wake.Yeye ni Askofu sasa anaweza kutafsiriwa vinginevyo!
Binafsi sijamsikia Gwajima Askofu akitoa msimamo wake kuhusu Mkataba wa DP World kama alivyotoa msimamo wake kuhusu Chanjo ya corona.
Naomba kwa yule aliyewahi kumsikia akuje hapa anitaarifu.
UBUNGE!Binafsi sijamsikia Gwajima Askofu akitoa msimamo wake kuhusu Mkataba wa DP World kama alivyotoa msimamo wake kuhusu Chanjo ya corona.
Naomba kwa yule aliyewahi kumsikia akuje hapa anitaarifu.