ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,716
- 3,177
Great thinkers,
Tumsaidie Rais Dkt Samia kufahamu mbinu mbali mbali wanazotumia wateule wake kuiba hela za umma na kumhujumu. Mi nitatoa moja ya mbinu hizo kwenye serikali.
Mteule anapopata uteuzi kwenye nafasi hasa zile za vitengo fulani vinavyohusiana na mapato au miradi, cha kwanza akikabidhiwa anavuruga mfumo wote huku akiulaumu watangulizi wake. Mfano unakuta District Treasury au Municipal Treasury anahakikisha control namba hazitoki etc, kinachofuata hapo ni kupokea hela kwa njia mbadala na kuiibia serikali etc.
Hebu share ujanja wanaotia wahujumu uchumi
Tumsaidie Rais Dkt Samia kufahamu mbinu mbali mbali wanazotumia wateule wake kuiba hela za umma na kumhujumu. Mi nitatoa moja ya mbinu hizo kwenye serikali.
Mteule anapopata uteuzi kwenye nafasi hasa zile za vitengo fulani vinavyohusiana na mapato au miradi, cha kwanza akikabidhiwa anavuruga mfumo wote huku akiulaumu watangulizi wake. Mfano unakuta District Treasury au Municipal Treasury anahakikisha control namba hazitoki etc, kinachofuata hapo ni kupokea hela kwa njia mbadala na kuiibia serikali etc.
Hebu share ujanja wanaotia wahujumu uchumi