TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

Naomba,

Kuuliza, je inawezekana kudownload na kutumia watsaap kwenye laptop au desktop kama tunavyotumia smartphone?
 
Inawezekana kama utapakua bluestalk.

Bluestack inakupa apps zote za android kwenye pc including whatsapp.
 
Inawezekana mwenyewe natumia, download bluestacks kama alivosema mkuu hapo juu ina applications kibao ndani, fb, whatsapp, skype na zingine.
 
Naomba,
kuuliza, je inawezekana kudownload na kutumia watsaap kwenye laptop au desktop kama tunavyotumia smartphone?

KWA HIZI CONDITION INAWEZEKANA IWE NA RAM 1GB N ABOVE .NET FRAME WORK SHOULD BE 3.5 au 4.5 unaweza ku download kama yako ni ndogo
 
Inawezekana moja kwa moja kutoka katika whatsapp yako ya simu.

Kwenye browser yako kafungue page hii

Web.whatsapp.com

Ukifungua itakupa maelekezo ufanyeje kwenye whatsapp ya simu itabidi kuscan code unayoiona kwenye website na simu yako...

Nirahisi sana no mawazu no ujuzi kaka nini then enjoy

Make sure whatsapp yako ipo updated incase ikikataaa



Kama unatumia IE hawai recommend so nenda kwenye zingine.
 
Yaani inafanya hadi raha huku msg kwa simu inaingia na kwa desktop nayo hiyo...ila labda kupiga simu ndio sijaonaga ki icon...bali hakuna matata.

Hiyo tu hata simu ikiisha battery unajua utacheki wapi. Kumbuka ku log out kama hautaki wengine wasome msg zako maana ina sync kila moja.
 

Kama computer yako inatumia zile processor za Core kunzia i3 mpk i7 basi hii blue stack haitakufaa au haitaingia kwenye mashine yake itabidi uchukue youwave link iko hapa enjoy

Mi sjaelewa why powerfull processor hazirun bluestack?
 
Naomba,

Kuuliza, je inawezekana kudownload na kutumia watsaap kwenye laptop au desktop kama tunavyotumia smartphone?

Inawezekana kwa kutumia BueStacks au youwave kama wadau walivyosema, ila Bluestacks inazingua au inaweza isifanye kazi kabisa kwa baadhi ya computer (Sijui kwanini , wala sijafuatilia sana) .

Ila kuna njia Rahisi ya kutumia Whatsapp kwenye PC kwa kutumia web www.web.whatsapp.com

ukishafungua hiyo URL , kwenye simu yako unafungua whatsapp, then kwenye settings unaclick Whatsapp for web , hapo itakulete QR scanner (yaani uta elelezea camera ya simu yako kwenye screen ya computer ili ku scann ile QR code).

automatically ukisha scann, italogin yenyewe

soma hapa https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/842592-whatsapp-for-web.html
 
Mi sjaelewa why powerfull processor hazirun bluestack?

Mkuu system za blue stack haziwez kuread graphic card kubwa kwenye pc mfano hizi mashine za yako na ndio maana mostly huwa tunapata error ya graphic card hasa wale wenye pc zenye Processor ya 4th generation ....hivyo wanashauri kabla ya kuchukua hi app unafanya kuupdate drivers za card yako kwanza kama uliwahiki kupata error ya card mwanzoniii
 

Mkuu system za blue stack haziwez kuread graphic card kubwa kwenye pc mfano hizi mashine za yako na ndio maana mostly huwa tunapata error ya graphic card hasa wale wenye pc zenye Processor ya 4th generation ....hivyo wanashauri kabla ya kuchukua hi app unafanya kuupdate drivers za card yako kwanza kama uliwahiki kupata error ya card mwanzoniii

Kaka graphics ni zile zile tu iwe amd au intel na graphic unayoeka kwa i7 unaweza eka hata kwenye pentium au xeon.

Na kama ni igpu same case.

Hilo suala la ku update driver ni la kawaida kila mtu anatakiwa alifanye pc yako haiwezi kuona graphics kama hakuna driver zake
 
Mi nina hiyo bluestack, kila niki run app ya android inaniambia instalation fail
 
Inawezekana kwa kutumia BueStacks au youwave kama wadau walivyosema, ila Bluestacks inazingua au inaweza isifanye kazi kabisa kwa baadhi ya computer (Sijui kwanini , wala sijafuatilia sana) .

Ila kuna njia Rahisi ya kutumia Whatsapp kwenye PC kwa kutumia web www.web.whatsapp.com

ukishafungua hiyo URL , kwenye simu yako unafungua whatsapp, then kwenye settings unaclick Whatsapp for web , hapo itakulete QR scanner (yaani uta elelezea camera ya simu yako kwenye screen ya computer ili ku scann ile QR code).

automatically ukisha scann, italogin yenyewe

soma hapa https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/842592-whatsapp-for-web.html

Hii kitu ukishaifanya inakuwa ya kudumu au @ ukitaka kutumia pc ni lazima uscan hyo QR code mkuu?
 
Inawezekana moja kwa moja kutoka katika whatsapp yako ya simu.

Kwenye browser yako kafungue page hii

Web.whatsapp.com

Ukifungua itakupa maelekezo ufanyeje kwenye whatsapp ya simu itabidi kuscan code unayoiona kwenye website na simu yako...

Nirahisi sana no mawazu no ujuzi kaka nini then enjoy

Make sure whatsapp yako ipo updated incase ikikataaa



Kama unatumia IE hawai recommend so nenda kwenye zingine.
naweza kuscan zaidi ya sim moja?
 
Back
Top Bottom