TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

sijaelewa yani unapakua app bila net lkn lazima utumie browser , je browser inaweza kufungua page bila net? Hiyo ya kupakua app bila kupitia g. Play ipo sawa
 
Ni useless kabx mkuu....eti upate app bila net kwa kutumia browser.....xaxa hiyo browser itaifungua kutumia nn.??

Kuna kitu kinaitwa criticism yenye faida....naona wengine hatuna hiyo...

Point ni kwamba unaweza kuta mtu anakatablet ambacho hakina net labda ni wifi tuu na anapoishi hakuna wiFi. Basi atadownload kwenye browser ya kompyuta au simu nyingine..kisha ataamishia kwenye hiyo tableti yake isiyokuwa na internet... DONE!!!!
 
Je kudowload whatsapp kwenye tablet unafanyaje mi inakataa

Pakua App inaitwa mobogenie itatatua tatizo lako. Angalizo usipakue kwenye play store itakuzingua. Ipakue kwenye browser mfano operamin au Mozilla.
 
Pakua App inaitwa mobogenie itatatua tatizo lako. Angalizo usipakue kwenye play store itakuzingua. Ipakue kwenye browser mfano operamin au Mozilla.

Halaf nikishadownload hiyo mobogenie nadownload hapo hapo mobogenie au???
 
Nitawezaje ku download watsup in Lenovo yoga 8..? Koz inanizingua balah
 
Pia ungeweka tahadhali ya kupakuwa app bila kupitia play store, ili yakiwapata yakuyapata wasije wakakulaumu. Faida na hasara ya kuloop playstore.
 
Back
Top Bottom