wakati kesi iko mahakamani so stupidPole nilikuwa nataka kueleza kuwa gadhabu za watu wa nchi moja huonesha kwa kuandamana katika ubalozi wao. Wanaija walifanya huko kwao kuonesha kusikitishwa na mauaji ya wanaija na sie vijana wapo Sawa maana ndege yao imeshikiriwa sauzi hivyo kuandamana mbele ya ubalozi wa sauzi ni kutoa ujumbe (voice of the voiceless). Una jengine?
Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!
Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?
Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!
Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.
Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Tumezidi ushamba.
Hata baba yako anamshabikia Magufuli kama mimi hivyo unadhani hana marinda, huna adabuMtu anayemshabikia jiwe ni shoga, ukijadiliana naye utachekwa.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!
Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?
Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!
Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.
Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Tumezidi ushamba.
kwahiyo huelewi ushamba gani mmeufanya watanzania au unataka tuchoshane tu..halafu usinipangie kwa kuishi wewe sio mke wangu..idiotUshamba Gani HAPO Sasa Acha Kutuaminisha Ujinga,, Kama Wewe Ndiye Mjanja Hamia Kwa Wajanja Wenzako Kwani Umelazimishwa Kuishi Hapa Tz
mi simo Nyani Ngabu Una tuhuma nzito nzitoUnasahau huyu ni mtafuta k za bure hapa JF cc Mama Sabrina , si ajabu ni picha ya anayemmendea
Si ushamba tu bali ni utaahira syndrome . This issue has become so serious and chronic these daysKwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!
Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?
Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!
Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.
Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Tumezidi ushamba.
Oneni kiazi mwingine huyu , hivi hii nchi mbona watu wanazidi kukosa akili kila siku ? . Duh ! Halafu unakuta jitu kama wewe eti una mtoto kabisa . Huyo mtoto si atakuwa disaster kwa mtindio wa ubongo kabisa ?Kuhusu mauaji ya wanaija huko sauzi
😂😂😂😂😂😂Ngabuuu!maswali magumu jaribu kuuliza swali kulingana na IQ ya huyu ndugu yetuMauaji yanahusiana nini na ndege?
Nimetizama Yale majinga yalivyokua yanaimba Yani unajua tuuh kichwani Ni upepo tuuh ,Yani unaweza tamani kuyanasa makelebu tuuh afu Ni wajinga 30 wanakuzwa Kama halaiki ya watu 10000,ule Ni ushuzi mtupu mngh!!!
[/QUOTE😂😂yapo mengi hata ukiyaua humalizi mkuu
Kwa hiyo leo ndo umeonaa kuna umuhimu wa kuandamana eh?yaan akili za kilumumba ni kama saratan kwa taifa hiliSio poa hata kama tunadaiwa,huu mtindo wa kuzuia ndege ni kama utekaji.ina maana sheria zinaruhusu kuzuia ndege pale nchi daiwa inaposhindwa kulipa deni? Na bora deni tungekuwa na tumekopa fedha hivi karibuni kwa masuala ya maendeleo,sasa deni la miaka 37 iliyopita,si unajua awamu hiii inajitahidi kufanya hili na lile ili tuweze kusonga mbele kiuchumi,bila kujali mapungufu ya hapa na pale.kwahiyo hili la ndege yetu kuzuiwa halijakaa poa,linaumiza,
Kuhusu kuandamana ,si jambo baya wala ushamba,kuandamana ni namna tu ya kufikisha ujumbe sehemu husika.kila mtu ana haki ya kufanya jambo anavyojisikia,ahakikishe tu havunji sheria.
Tunategemea utakuwepo uwanjani Dar, kuungana na Viongozi wetu "Wazalendo" kuipokea ndege yetu kwa shamrashamra itakapoachiwa. Onyesha "uzalendo" wako kwa "viongozi wako", sio lazima iwe kwa (Tanzania) kwa kuwepo kwako uwanja wa ndege. Ratiba kamili itatolewa mara tu taarifa zitakapopatikana.Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Una uhakika? Matusi hayafanyi ukweli kuwa uongo. Na mtu akianza matusi jua ameishiwa hojaOneni kiazi mwingine huyu , hivi hii nchi mbona watu wanazidi kukosa akili kila siku ? . Duh ! Halafu unakuta jitu kama wewe eti una mtoto kabisa . Huyo mtoto si atakuwa disaster kwa mtindio wa ubongo kabisa ?
Kweli kabisa huu ni ushamba wa Kiwango cha sgrHapo walimaanisha watupe ndege bure bure bila kufuata sheria kwa kuwa tumewasaidia sana enzi za kupigania haki yao..kwa kweli huu ushamba unazidi kutuaibisha kimataifa tunaonekana ni nchi ya wapumbavu