Tumefikia huku? kwamba mzazi anapata taarifa ya kifo cha mtoto kwenye soshomedia?

Mmeamshwaje wakuu poleni na mvua zinazoendelea kutufikirisha.

Jana niliangalia interview ya Milad na baba wa Gadna nachelea kusema baba yule yupo kwenye mtikisiko na msikitiko mkubwa sana.

Kilichonifikirisha na kuniuma ni yeye kusema siku hiyo alimtafuta mwana akamkosa akaenda jumuiya akiwa hana raha kwa kumkosa mwana mbaye alitaka kumsomea neno kutoka kitabu kitakatifu. akapigiwa simu mbili ile ya pili ilikuwa ni pole direct kwamba "nimeona Gadna amefariki huko kwenye mitandao" can you imagine habari nzito inafika kwa mtu muhimu kwa njia nyepesi kabisa?!!.

Kwanini tumekuwa washamba na malimbukeni kiasi hiki maana ingekuwa ajali utasema mashuhuda walipost, ingekuaje kama baada ya kifo kutokea akatafutwa mtu wa familia akapewa muda kupeleka kwenye ngazi ya familia hii taarifa then ndo ipelekwe kazini?.

Ni nani alivujisha taarifa mitandaoni kabla ya watu muhimu ambae mmoja wapo kwa ukubwa ni mzazi? natamani kuwepo na mtu wa kuwajibishwa katika hili ili iwe mfano.

Tuliona mzee Zoro nae alipatia taarifa kutoka kwenye mitandao binti yake amefariki well angalau ilikua ajali mashuhuda walipostpost lakini bado sio sawa. Usiseme kuwa huo ni umaarufu na maisha yake hapana; Mfu anahitaji stara.
Mbona una mind vitu vidogo sana mkuu...
!!?🤷🤷
 
Inasikitisha sana. Ni kama kwa kibonde,kijana wake alipokea taarifa mtandaoni wakati huo alikua anaangalia mpira kibanda umiza,hajakaa sawa anaona taarifa ya mwili wa Baba yake kurudishwa dar akaona aende airport akahakikishe
 
Na wewe Mbona unatupa taarifa ya Baba yake Gadner kwenye sosho media??
 
Wengi wamekuwa malimbukeni wa mtandao, Kuna namna ya uwasilishaji wa taarifa kwa watu wa karibu na marehemu, Kama mzazi wake angekuwa na tatizo la pressure halafu unampa hizo habari unafikiri matokeo yangekuwaje
 
Tatizo ni kwamba Dunia imekuwa kama Kijiji, taarifa mbalimbali zinaenea kwa kasi sana, wale waliokuwa na mgonjwa baada ya kufariki ndiyo waliotakiwa kutoa taarifa kwa Baba yake labda kama kulikuwa hakuna Ndugu wakati anafariki.
 
Mmeamshwaje wakuu poleni na mvua zinazoendelea kutufikirisha.

Jana niliangalia interview ya Milad na baba wa Gadna nachelea kusema baba yule yupo kwenye mtikisiko na msikitiko mkubwa sana.

Kilichonifikirisha na kuniuma ni yeye kusema siku hiyo alimtafuta mwana akamkosa akaenda jumuiya akiwa hana raha kwa kumkosa mwana mbaye alitaka kumsomea neno kutoka kitabu kitakatifu. akapigiwa simu mbili ile ya pili ilikuwa ni pole direct kwamba "nimeona Gadna amefariki huko kwenye mitandao" can you imagine habari nzito inafika kwa mtu muhimu kwa njia nyepesi kabisa?!!.

Kwanini tumekuwa washamba na malimbukeni kiasi hiki maana ingekuwa ajali utasema mashuhuda walipost, ingekuaje kama baada ya kifo kutokea akatafutwa mtu wa familia akapewa muda kupeleka kwenye ngazi ya familia hii taarifa then ndo ipelekwe kazini?.

Ni nani alivujisha taarifa mitandaoni kabla ya watu muhimu ambae mmoja wapo kwa ukubwa ni mzazi? natamani kuwepo na mtu wa kuwajibishwa katika hili ili iwe mfano.

Tuliona mzee Zoro nae alipatia taarifa kutoka kwenye mitandao binti yake amefariki well angalau ilikua ajali mashuhuda walipostpost lakini bado sio sawa. Usiseme kuwa huo ni umaarufu na maisha yake hapana; Mfu anahitaji stara.
Ulimwengu wa utandawazi hili halikwepeki na kwa mtu maarufu ndio taarifa zinaingia mitandaoni haraka sana. So hakuna cha ajabu hapo.
 
ajabu ni baba
Ulimwengu wa utandawazi hili halikwepeki na kwa mtu maarufu ndio taarifa zinaingia mitandaoni haraka sana. So hakuna cha ajabu hapo.
yako kupata taarifa za kifo chako kupitia mtandaoni.
 
Inaonekana ndugu zake wa karibu jasa wauguzaji hawajitambui, ni machoko wasio hata na ustaarabu wa kitamaduni, So sad.

Huo ni udharirishaji wa Marehem na watu wake wa maana kwenye Familia.
 
Umenikumbusha msiba wa Mzee komba! Kuna picha zilitumwa akiwa amelazwa kwenye meza Hosp muda mfupi baada ya kufariki huku uso ukionekana!...fikilia mwanafamilia anaona picha za hivyo...
 
Mmeamshwaje wakuu poleni na mvua zinazoendelea kutufikirisha.

Jana niliangalia interview ya Milad na baba wa Gadna nachelea kusema baba yule yupo kwenye mtikisiko na msikitiko mkubwa sana.

Kilichonifikirisha na kuniuma ni yeye kusema siku hiyo alimtafuta mwana akamkosa akaenda jumuiya akiwa hana raha kwa kumkosa mwana mbaye alitaka kumsomea neno kutoka kitabu kitakatifu. akapigiwa simu mbili ile ya pili ilikuwa ni pole direct kwamba "nimeona Gadna amefariki huko kwenye mitandao" can you imagine habari nzito inafika kwa mtu muhimu kwa njia nyepesi kabisa?!!.

Kwanini tumekuwa washamba na malimbukeni kiasi hiki maana ingekuwa ajali utasema mashuhuda walipost, ingekuaje kama baada ya kifo kutokea akatafutwa mtu wa familia akapewa muda kupeleka kwenye ngazi ya familia hii taarifa then ndo ipelekwe kazini?.

Ni nani alivujisha taarifa mitandaoni kabla ya watu muhimu ambae mmoja wapo kwa ukubwa ni mzazi? natamani kuwepo na mtu wa kuwajibishwa katika hili ili iwe mfano.

Tuliona mzee Zoro nae alipatia taarifa kutoka kwenye mitandao binti yake amefariki well angalau ilikua ajali mashuhuda walipostpost lakini bado sio sawa. Usiseme kuwa huo ni umaarufu na maisha yake hapana; Mfu anahitaji stara.
Soshomidia?
Nahisi mjadala uanze kwenye hili neno
 
Ni tatizo.
nimetoka kumsikiliza mtoto wa marehemu CDF wa kenya,nayeye analalamika na blog vibungo,kwamba taarifa ya kwanza kuiona ni video ya helkopter ikiteketea kwa moto, na maelezo kwamba ilikuwa ni ya jeshi imebeba CDF.

Sheria ya matumizi ya mtandao inatakiwa kuboreshwa,watu wanatumia hata misibia kupta engagement,wala hawajali nini wanapost.
 
ajabu ni baba

yako kupata taarifa za kifo chako kupitia mtandaoni.
Inategemea imepita muda gani na baba yako ana tatizo gani. Watu hukubaliana wamwambie wakishakamilisha baadhi ya mambo na si kwa kukurupuka. Lakini penye wengi hapakosi wambea. Anatokea mmoja anamjulisha mtu wake wa karibu na baadae zinamfikia mhusika namba moja.

Kuna watu wamepata taarifa za vifo vya ndugu zao kupitia WhatsApp group au kupigiwa simu ya Pole. Sasa hivi mambo yanakwenda speed sana.
 
Back
Top Bottom