JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,595
- 1,392
Mkuu itakuwa fresh wabadilishiwe uniform color.. nilidhani ni wanajeshi wa kukodi kutoka USA..Kikosi cha ulinzi wa Rais,wale jamaa ni wa Tz.
Mkuu itakuwa fresh wabadilishiwe uniform color.. nilidhani ni wanajeshi wa kukodi kutoka USA..Kikosi cha ulinzi wa Rais,wale jamaa ni wa Tz.
Na huyu nae kuna wakati utamuona adai Demokrasia. Kwa hiyo mimi nikienda kuchukua fomu kuwania Urais usalama wakiona sifai waniue? Au wafanyeje? Kila mtu ana haki ya kuwania cheo fulani ilimradi sheria na katiba vinamruhusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Madai ya mleta mada hayako wazi
Dah...kwa hali ya nchi ilivyokuwa hapo awali...kweli tulihitaji ''KICHAA'' ili aweke mambo sawa.....😎Mkuu wa Nchi kujinadi hadharani kwamba yeye ni KICHAA ni hatari na fedheha kubwa kwa Nchi husika.
Ili tuwe na makesi ya kibiashara tuanguke kiuchumi au sukari kilo iuzwe sh. 5,000 ndo tusalimike?Dah...kwa hali ya nchi ilivyokuwa hapo awali...kweli tulihitaji ''KICHAA'' ili aweke mambo sawa.....😎
Dah...kuna makesi ya mwaka 2003 chief.....KICHAA alikuwepo?Ili tuwe na makesi ya kibiashara tuanguke kiuchumi au sukari kilo iuzwe sh. 5,000 ndo tusalimike?
Mangine si ya kwake kama wale samaki wa meli ya kichina?, au huyu ni mwingine?Dah...kuna makesi ya mwaka 2003 chief.....KICHAA alikuwepo?