musa_ali
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 377
- 386
NOP...not on International diplomatic Laws...ndo maana hata Bahari ina mipaka japo bado hatujaipima na kuigawana vizuri.Hizo ndio mbinu za uongozi, ukitaka ujumbe uwafikie vizuri unaongea kwa lugha walizozizoea, hata wachungaji na mapadri wazuri, pamoja na lugha za kiimani huchomeka lugha za mtaani kufanikisha ujumbe ufike.