Msemahaki kapata Rungu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2025
- 270
- 137
Kwanini usipendekeze watu wa mbinguni?Tume ya uchaguzi wa Tanzania iwe na viongozi wote toka Marekani na Ulaya tu. Wasimamizi wa uchaguzi Kuanzia ngazi ya madiwani, wabunge, kura za Urais viongozi wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo rasmi wawe wanatoka Marekani na Ulaya(Uk, Germany)