Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Katika mkutano wa wadau wa demokrasia nchini ulioandaliwa na TCD. Joseph Selasini amesema Tume ya Uchaguzi iwe na fedha zake, iwe na watu wake na namna yake ya kuajiri badala ya kutegemea fedha kutoka hazina.
Aidha amesema suala la uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu ufanyike kwa siku moja ili kuepuka gharama.
Akizungumzia hoja hiyo, Maftaha kutoka CUF amesema suala la chaguzi kuwa moja au tofauti sio hoja, kinachotakiwa ni uchaguzi huru na haki. Kwa kuwa uchaguzi wa serikali za mtaa unasimamiwa na TAMISEMI.
Shida sio kuteua au kutoteuliwa, bali ni vyama kutokuwa na usawa.
Aidha amesema suala la uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu ufanyike kwa siku moja ili kuepuka gharama.
Akizungumzia hoja hiyo, Maftaha kutoka CUF amesema suala la chaguzi kuwa moja au tofauti sio hoja, kinachotakiwa ni uchaguzi huru na haki. Kwa kuwa uchaguzi wa serikali za mtaa unasimamiwa na TAMISEMI.
Shida sio kuteua au kutoteuliwa, bali ni vyama kutokuwa na usawa.