peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,887
- 21,526
- Thread starter
- #141
😂Wampe na ufalme
😂Wampe na ufalme
Sijawahi kuona comment ya kijinga kama hii yako. Unajua maana ya CPA au umeamua tu kubishana kama mwendawazimu?
Nieleze namna accounting software(QuickBooks,tally,Manager etc) yenyewe inavyoweza kufanya accounting adjustments.Wamepambania wakati hii ni moja ya dying profession, accounts kwa sasa haihitaji mtu wa cpa kuandaa taarifa, ni kazi ya dk 5 tu inafanyika..ni mbwembwe tu hazina maana yoyote, wala thamani ya maarifa si title!
Lkn Mengi huyo huyo alitunukiwa PH.d ya heshima na akawa anajiita Dr. Reginald Mengi.Dame Acha ujinga.
Tuambie wapi CPA ni title same as Dr. Kama wewe hujui maana take shauri yako. Akina Mengi (RIP) na Mkono (RIP) walikuwa watu wa mwanzo kuzipata hizo. Hukuwaona wanazitumia kama title till hiki kizazi chenu cha kutaka kujionyesha.
Kwahiyo kama kina Mengi hawakutumia ndo wengine wasitumie? PUMBAVU SANA. Acheni wivu wa kishenzi. Hujakatazwa na wewe kufanya mitihani ya NBAA upate CPA
Kule utamtambia nani... Watu wengi hawajui kuwa Bill Clinton na Obama wote ni ma-ProfesaNenda Marekani au UK, haya mavyeo mbele ya majina ni kwa watu kama medical doctors, Dentists na Veterinary Doctors.Tanzania kuna mambo ya ajabu sana, kama Adv., Arch. Eng. CPA, Dr (za mchongo kama za wabonge baadhi)
Elimu ya vyeti ingeanzia huku, kila taaluma ingekuwa unatoa vyeti na watu wote wangeamua kuweka titles za walichosomea.
Lkn Mengi huyo huyo alitunukiwa PH.d ya heshima na akawa anajiita Dr. Reginald Mengi.
Wakijiita CPA mbele ya majina yao wanavunja sheria gani?Alijua tofauti. Ndiyo maana hawakujiita CPA lakini wakajiita Dr.
Watu wanashindwa kujiuliza tu kitu kidogo, hivi kwa nini ukiangalia news BBC, CNN etc huwezi kukutana hizo title zikitumika!? Hivi wenye hizo title hawahojiwi kwenye international media...!?
Wakijiita CPA mbele ya majina yao wanavunja sheria gani?
Wakionekana Ni malimbukeni ubaya wake Ni Nini?Hakuna sheria wanayovunja. Ila wanaonekana ni malimbukeni tu.
Kweli mkuu, yaani Prof, Dr, Eng, cpa na wakili msomi ndio zimetamalaki saivi.Inapaswa watu waitwe ndugu/Mr/MRS/MISS tuachane na huu upumbavu sijui Pro/Dr/CPA/Wakili msomi
Kwa hiyo cpa kwa ajili ya kufanya adjustments? Hizo hata form 6 leaver anafanya..hazihitaji cpaNieleze namna accounting software(QuickBooks,tally,Manager etc) yenyewe inavyoweza kufanya accounting adjustments.
Sahihi kabisa.......😅😅NI roho pekee ndiyo haiuzwi
Wewe jamaa mzima kweli? Kwa hiyo hata comments za watu husomi kuelewa wanasema niniTume ya Madini, mkiandikwa na kupewa machungu yenu humu Jf ,Huwa mnaziba masikio yenu na kufunga macho, mkijifanya hasikii na hamuelewi.
Fanyieni Uzi huu kazi na mtambue kuwa , Katibu mkuu Ofisi ya Rais utumishi yumo Jf, anawaangalia tu.
Atachukua hatua!
Mmh. Form 6 mbali hivyo?hata wa standard 5(Primary) anafanya mtaalam.Kwa hiyo cpa kwa ajili ya kufanya adjustments? Hizo hata form 6 leaver anafanya..hazihitaji cpa
Hata CAG hajaelewa.Wewe jamaa mzima kweli? Kwa hiyo hata comments za watu husomi kuelewa wanasema nini