Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,341
- 8,266
Umeeleza vizuri ila huo upuuzi wote mnaufanya watanzania hata leo mnaweza mkadai ualimu uwe professional. Tuanze TC JUMA LUKINDO au mkemia Chem RAJABU HARMONIZE. Eti Pharmacity NASIBU OMARY.Kwamba Diploma Ikae mwanzo mwa jina?
Kuna Vitu unatakiwa kujua Kuna Qualification na Proffesionalism..
Kwa mfano Engeneer Ni Proffesional Ila Qualification yake ni Aitha civil au masomo mengine yanayoHusu engeneer..
Preffix haitambulishi Qualification Bali inatambulisha Proffesionalism..
Kumbuka Mwanasheria Hawezi kuitwa Advocate mpaka awe ni Amesoma Law school..
So proffesionalism ndo hutambulishwa na Eidha Preffix ama surffix..
Kwa Mfano Huwezi Kuandika MMED (Paed) Mambo jambo..
Hii Ni qualification..
Ila utaandika Kama proffesional..
Mambo jambo,MMED,MD (Kwa mfumo wa Marekani)
Ila kwa Mfumo wa Bristish Utaandika Dr Mambo Jambo
Ni upuuzi tu leo typo na CPA hata jina halina kionjo.