Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(Ofisi ya Rais) yapinga Bunge kutoonyeshwa LIVE

Ili mkaongelee shanga sio? Hakuna cha live wala nini !
Halafu kuonyesha kuwa nyie ni ma zombie yaani maiti zinazotembea, kesho serikali ikitangaza kuwa ineamua matangazo yarudi kama awali mtageuka na kupongeza sana.
Tabia ya unafiki ineingia mpaka kwenye damu zenu kiasi hata mtu akifa ukitaka kujua kama ni mwanaccm unapima DNA na ukikuta chembechembe za unafiki unajua huyu marehemu ccm
 
Haki hupatikana mahakamani. Kwa nini wasiende mahakamani kuishitaki serikali? Haya matamko mpaka lini?
Toka wabunge, vyombo vya habari kulalamika ni muda sasa!
Waipeleke serikali mahakamani kwani huko ndipo tafsiri na haki hutolewa.
Blabla ya nini?
Nendeni kwa niaba yetu.,
 
Kwa taarifa hii kutoka ofisi ya Rais tunaweza kusema kuwa Rais hausiki na hili bali ni bunge ndio muhusika mkuu. Rais hapingi wala haungi mkono, lioneshwe sawa liachwe sawa.
 
Magu,Mh Rais JMT,alipata umaarufu kupitia bunge live,wakati anakariri km za barabara,makandarasi walioko sites, pesa zilizolipwa,zinazodaiwa nk. Ajabu hataki wenzake wajimwage bungeni,wananchi tuwajue.
 
Mi nnacho subiri ni, vurugu zoote hizo, na sarakas zote hzo
Ziwe kweli zna matokeo kwenye maisha ya wana nch wa kawaida
Huduma ziwe bora, ajira ziongezeke, elim iboreshwe, uchumi wa .wana nch wa hali ya chini ukue

Yaan apa magu namskilizia tuu, naendelea kumpa mda
 
Kama suala la matamko tumeshayazoea na hayajawahi kuwa na impact yeyote maybe waje na njia nyingine ya kuwasihi viongozi waruhusu bunge liwe live
Huo ni udikteta katika nchi inayodai ina demokrasia. Kuburuzwa kuna mwisho
 
maisha yalivyo magumu muda wa kusikiliza commedy ya BUNGE unapata wapi??ngoja mie nikamwagilie bustani yangu
Kwani umewekewa gundi uangalie bunge. Haya mawazo yanaonyesha wewe ni mbinafsi.
 
Haki hupatikana mahakamani. Kwa nini wasiende mahakamani kuishitaki serikali? Haya matamko mpaka lini?
Toka wabunge, vyombo vya habari kulalamika ni muda sasa!
Waipeleke serikali mahakamani kwani huko ndipo tafsiri na haki hutolewa.
Blabla ya nini?
Nendeni kwa niaba yetu.,
Kuna wababe ndugu yangu, wnajifanya wameziba masikio huku wanasikia. Hii kesi ya nyani ngedere hawezi kuamua
 
Mi nnacho subiri ni, vurugu zoote hizo, na sarakas zote hzo
Ziwe kweli zna matokeo kwenye maisha ya wana nch wa kawaida
Huduma ziwe bora, ajira ziongezeke, elim iboreshwe, uchumi wa .wana nch wa hali ya chini ukue

Yaan apa magu namskilizia tuu, naendelea kumpa mda
Asipomtumbua Nape, imani yangu kwake inapungua. Maana huyo jamaa ni hasara kwa maslahi ya taifa na maendeleo ya watanzania.
 
MEI mosi wanataka wawe LIVE kuonyesha umahiri wao katika sanaa za maigizo.
mkitaka kucheka, angalieni mabango ya kinafiki kutoka kwa Walimu wenye vitambulisho vya Makonda na Wafanyakazi wanaoogopa kuaga nyumbani kwa bashasha kuelekea kazini (hawajui watarudi ktk hali gani).
yatakuwa yameandikwa hivi, "HAPA KAZI TU, JPM SONGA MBELE MATICHA TUKO NYUMA YAKO"...... "NAPE KAZA UZI WANAOTAKA BUNGE LAIVU, WAPIGE SELFIE"............"BABA NUNUA NDEGE, BARABARA MICHOSHO". yaani ni mengi!!
 
Hizi taasis huwa znatoa matamko lkn hayana impact yyte...serikal haisikii...bunge litarushwa live majipu yakiisha maana naona xa hv anataka aonekane yy kweny headlines media zote
 
Back
Top Bottom