Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
1. Mapingamizi yaliyowekwa na Lissu ni matokeo ya tafsiri mbaya ya sheria iliyofanywa na Tume, tume inaongozwa na Jaji na wasomi wa Sheria. Je, wanafanya Nini huko ofisini? Unapotoa misleading instructions kwa wagombea Urais si jambo dogo hata kidogo, si makosa ya kibinadamu haya bali ni makosa ya kitaaluma na maadili kwa umma unaokulipa mshahara.
Kama wagombea wa Urais walipaswa kuwasilisha fom zao tume ya Uchaguzi kwa uhakiki na wao wakazipeleka majimboni kinyume na sheria inavyotaka naamini hawa hawana sifa za kuwa wagombea na wakigombea ugombea wao unaweza kupingwa mahakamani na wakaenguliwa.
Kwa wagombea, hawakutakiwa kusikiliza tume na makabrasha yyao tu bali walipaswa kusimamia Sheria. Naamini Tundu Lisu aliliona ili kwa sababu kuanzia mwanzo alijua anawindwa kuenguliwa, akafuata sheria na ndio maana fomu zake zilipokelewa.
Kama fomu za Tundu lisu zilipokelewa na kuonekana ni halili kwa uteuzi je, fomu za akina Lipumba zimepataje uhalali.
Kama wagombea wa Urais walipaswa kuwasilisha fom zao tume ya Uchaguzi kwa uhakiki na wao wakazipeleka majimboni kinyume na sheria inavyotaka naamini hawa hawana sifa za kuwa wagombea na wakigombea ugombea wao unaweza kupingwa mahakamani na wakaenguliwa.
Kwa wagombea, hawakutakiwa kusikiliza tume na makabrasha yyao tu bali walipaswa kusimamia Sheria. Naamini Tundu Lisu aliliona ili kwa sababu kuanzia mwanzo alijua anawindwa kuenguliwa, akafuata sheria na ndio maana fomu zake zilipokelewa.
Kama fomu za Tundu lisu zilipokelewa na kuonekana ni halili kwa uteuzi je, fomu za akina Lipumba zimepataje uhalali.