Anaposema Busara Itumike ana maana gani hasa
wabunge wetu woote sehemu kubwa ni 'shake well be for use' hawana wanalolijua kwa sababu wengi wao ni vilaza, but they are there for their own benefits and prostitusion practices
wabunge wetu woote sehemu kubwa ni 'shake well be for use' hawana wanalolijua kwa sababu wengi wao ni vilaza, but they are there for their own benefits and prostitusion practices
Mongella: Sheria ya Gharama za Uchaguzi itekelezwe kwa umakini
My Take:
Mmezidi Ubishi, wabunge nyinyi, kulalamika mlalamike nyinyi.. tuliwaimbia na kuwapigia kelele hii sheria mbovu mkaizunguka kwa mbwembwe kama watu wanaomzunguka mganga wa kienyeji.. sasa wacha igeuke iwanyofoe ndio mkome. Inakuwaje mtunga sheria anailalamikia sheria ambayo alikuwa na uwezo wa kuifanyia mabadiliko!
Wale waliokuwa wakila meza moja na "Yesu" baadaye wakageuka kuwa ma"Yuda Iskarioti" wala hawapaswi kuzungumza lolote. Dhambi ya usaliti utaendelea kuwatafuna tu. Bora wakae kimya tu.
Kwani alikuwaje zamani? Aliwahi kufanya nini chanya, sio cheo, kwenye ma institutions aliyoteuliwa teuliwa?ni kweli kabisa.. sijui kitu gani kilimuingia huyu mama jamani..
usishangae sheria hiyo ilipopitishwa hakuwa macho bungeni.................na hakujua hasa kuwa sheria kama hiyo imepitishwa.
wabunge wetu ni vichekesho kwa kweli
Mwanakijiji unashangazwa na hilo? nilishasema huko nyuma kuwa wabunge wengi wako pale ila hawajui wako pale kufanya nini zaidi ya sehemu ya mlo. Angalia vikao vinavyoendelea sasa hivi, hawapo ,viti vitupu, katika kikao muhimu kama hiki cha bajeti. Hawa sii wawakilishi wa wananchi,wanajiwakilisha wao na familia zao tuu.
Kwani alikuwaje zamani? Aliwahi kufanya nini chanya, sio cheo, kwenye ma institutions aliyoteuliwa teuliwa?
Si hapo wizarani tu, unajua alivyoharibu UN New York na AU South Africa?Yaap! maana hata alipokuwa waziri wa Maliasili miaka ya '80 hakufanya lolote na baadaye aliondolewa kwa kile nilichosikia kama kujimwaga na wageni ktk wizara hiyo. She must be a non-perfomer.