Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Vita ya Jericho.

Walikufa takribani wapiganaji 50,000 wa Israel, na Vita wakashinda. Unafananishaje na wapiganaji 28 walio uawa tarehe 22?

Soma historia, Acheni uvivu.
Hii sio jericho mzee.
Hizi zama zingine ,Israel kaingia chaka safari hii hapo Gaza.
 
huyo Bwana wako Netanyahu ni shoga tu mbele ya Hamas, wale wanaume wa Hamas achana nao, kuna mmoja alifungwa Jela na mayahudi unaambiwa alitomba walinzi wote wa kike tena walikua wanajipeleka wenyewe ilibidi waondoshwe wote, achana na wanaume wa Hamas ww bwabwa.
Umeenda shule kweli?
 
Kumkashifu Yesu Kristo ni kuinajisi Quran maana imemtambua kama masihi aliyeleta injili kwa wanadamu so jitie najisi tu, utavuna na kizazi chako.
Yesu wa Qur'an ni tofauti na wa biblia kijana.
Sie twaamini Issa ni Nabii na hakusulubiwa ila ninyi mwaamini ni Mungu ama mtoto wa Mungu na alisulubiwa.
 
Ndugu zako katika imaani bila kumsahau mtukufu Sheikh wako!View attachment 2880997View attachment 2880998
Hao uislam hauwatambui.
Ukishafanya hivyo ushatoka nje ya uislam kwa sheria za uislam.
Makao makuu ya uislam Saudia je uliwahi kusikia kuwa Abdulrahman Al Suddays amebariki ushoga??
Ila makanisa yenu mpaka pope wenu wa Italia anaubariki ushoga.
Saudia,Iran,Iraq ukigundulika wewe shoga hukumu yako kunyongwa ama kuchinjwa.
Nitajie taifa la kikristo linalopinga ushoga.
Nasubiri jibu hapa.
 
Hilo unaloleta kama madai Israel wameshindwa kuthibitisha madai.
Maana kwa hao raia waliowaua hakuna hamas au silaha yake iliopatikana.
Hamas wapo Northern Gaza IDF inapiga central na South kutafuta nini?
Unamaanisha hajauwawa hamas hata mmoja eti?
 
Unamaanisha hajauwawa hamas hata mmoja eti?
Hamas wameuawa takriban 20k+ ila hawakuuawa pamoja na raia.
Wameuawa kwa kulipuliwa moja ya mahandaki yao na wengine waliojipenyeza Ashkelon na wengine kwenye vita za mitaa.
Nimekataa madai ya kusema wanatumia raia kama ngao ilhali katika hao raia waliouawa hakuna mwanahamas alopatikana.
 
Wahi uende ukabarikiwe kabla hujachelewa,sasa hivi ni ruksa.
Yani kwa cheo cha pope francis katika uislam ni sawa na Sheikh AbdullRahman Al Suddays.
Ila je umewahi sikia Sheikh Suddais anaendekeza ushoga??
Wanaleta majina ya masheikh uchwara ambao kisheria hao washakufurishwa na wapo nje ya uislam kwa matendo yao.
Ila hao wakristo sheria kama hii hawana.
 
Hamasi ni ugaidi, ni Islamic state, kufuta hamas nikufuta uislamic state, nimeelewela hapo
Unaitaje watu wanaopambania ardhi yao kuwa magaidi??
Wewe utekewe watoto zako wadogo wa kiume wawe wanapitia unyanyasaji wa kingono gereza la Uganda mfano utakubali hilo suala??
Kila mwaka watoto zaidi ya 500 hutiwa mbaroni na Israel na kufungwa kwa mashtaka yasiyoeleweka we hilo unaliona sawa??
 
😅😅😅😅 kwahiyo Mungu anahusudu Ushoga...?
Ndio mimi nawashangaa sana.
Ukiwaambia watakujibu sie tumeambiwa tuwapende wayahudi hata wakituchukia.
Asa unajiuliza huyu Mungu gani anaacha watu wawe na mapenzi ya upofu kwa watenda maovu?
Dunia inakuaje na mizani ya haki kama Mungu ahimizi ukemeaji maovu eti anahimiza mapenzi hukumu atahukumu mwenyewe.
 
Mungu alijidhihirishia utukufu wake kupitia uzao wao.
Uzao wake ndio huo wa vijana wanaopinga ukristo na kutemea kanisa mate?
Uzao wake ndio huo unaoendekeza uasherati??
Loooh!
 
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?
Wewe mwenyewe Hamas huwajui zaidi ya kuwasikia viongozi wake. Hivyo unachokiongea hata haukijui
Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?
Kuifuta ni process, je hawajaguswa? Wapo vilevile ma harakati zao?
Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?
Hakuna majali walitaja muda wa ukomo. Ukijiondoa wewe na watu wa aina yako, wengine wote wama kumbukumbu kwamba Netanyahu alisema wanajiandaa na operation ya muda mrefu pale Gaza.

Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?
unazidi kujichanganya, hakuma majala waliposema wataweka utawala wao Gaza, walivhosema mi kuirudisha Gaza mikononi mwa Mamlaka ya Wapalestina. Au leo jauwakubali Wapalestina?
Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora
Kwako tafsiri ya kuwaokoa ni nini? Hakuna waliotoka mikononi mwa Hamas? Halafu unazidi kujichanganya, umeanza kutaja malengo mengine, halafu mbele ya story unakuja na mengine ili kuipa mashiko story yako. Au uandishi na uwasilishaji ndiyo tatizo? Ungeanza kutaja malengo huko juu
Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya nusu ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?
Hivi wewe kweli unazijua hata kazi za MOSSAD?
Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?
Huwa wakiuawa ndiyo hao mnatangaza kuwa ni waandishi wa habari, wagonjwa, wafanyakazi wa UN n.k,
Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?
Unairudia tena hiyo ya uokozi as if hakuna kweli aliyeokolewa. Kingine lazima utambue kwamba, shughuli ya uokozi imaendeshwa sambamba na tahadhari kubwa ikiwemo ukaguzi wa kila jatua wanayoipiga. na uteguzi wa miteho ma mabomu mengi. Sasa kea akili za Kindezi mmsibuka na kudhani wanacheza gwaride tu.
Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Huwa wakiuawa ndivyo mnavyowaita. Raia, wakimbizi, waandishi wa habari, wafanyakazi wa UN n.k
 
huyo Bwana wako Netanyahu ni shoga tu mbele ya Hamas, wale wanaume wa Hamas achana nao, kuna mmoja alifungwa Jela na mayahudi unaambiwa alitomba walinzi wote wa kike tena
Acha kusingizia walinzi wa kike wewe, si useme tu walichokufanya hadi kikakufanya uone kweli wale ni wanaume? Unazunguuka bila sababu, jitangaze tu kuwa ulisha left
 
Acha kusingizia walinzi wa kike wewe, si useme tu walichokufanya hadi kikakufanya uone kweli wale ni wanaume? Unazunguuka bila sababu, jitangaze tu kuwa ulisha left
Walinzi wamebandikwa papuchi watakuwa wanaume au wanawake?😝😝😝😝
 
Acha kusingizia walinzi wa kike wewe, si useme tu walichokufanya hadi kikakufanya uone kweli wale ni wanaume? Unazunguuka bila sababu, jitangaze tu kuwa ulisha left
Hal hunaaka tahta shayi? unakitu huko nyuma kinakuwasha,?Ms. e. n. ge unataka kuole.wa. papa tayari keshatoa ruhusa mbarikiwe nenda na basha wako kanisani mkabirikiwe
 
Hal hunaaka tahta shayi? unakitu huko nyuma kinakuwasha,?Ms. e. n. ge unataka kuole.wa. papa tayari keshatoa ruhusa mbarikiwe nenda na basha wako kanisani mkabirikiwe
Mwandiko wako tu unaonyesha tayari watu wamekulegeza sphincture.
Jalafu dijui kilichokufanya ulitaja Kanisa hspa ni kipi?
Najaribu kuvuta Picture sijui hali ingekuwaje kama hao wa Kanisani ndiyo wangekuwa wakati wa kusali wanatakiwa kubong'oa, aisee nadhani mngetoa kashfa zote, sema tu ni vile Mungu fundi.
Uzuri wa Kanisani wakienda kuhiji huenda wakiwa wamevaa nguo zao zote, sijui ingekuwaje wangekuwa wanatakiwa wavue nguo zote halafu wabaki na kanga moja tu mwilini kama wale wa dini nyingine halafu unatakiwa uiname vile wakati wa kuswali.
Jiangalie tu comment zako, ungekuwa unawatukana sana tu humu na popote pale.
 
Mwandiko wako tu unaonyesha tayari watu wamekulegeza sphincture.
Jalafu dijui kilichokufanya ulitaja Kanisa hspa ni kipi?
Najaribu kuvuta Picture sijui hali ingekuwaje kama hao wa Kanisani ndiyo wangekuwa wakati wa kusali wanatakiwa kubong'oa, aisee nadhani mngetoa kashfa zote, sema tu ni vile Mungu fundi.
Uzuri wa Kanisani wakienda kuhiji huenda wakiwa wamevaa nguo zao zote, sijui ingekuwaje wangekuwa wanatakiwa wavue nguo zote halafu wabaki na kanga moja tu mwilini kama wale wa dini nyingine halafu unatakiwa uiname vile wakati wa kuswali.
Jiangalie tu comment zako, ungekuwa unawatukana sana tu humu na popote pale.
PApa katoa Ruhusa mbarikiwe, Nakushauri nenda na Basha wako anekupumulia kisogoni mpaka anakutoa haja kubwa , ukabarikiwe , halafu muda ukifika utaolewa
 
Oparesheni bado inaendelea.

Mabosi wa Hamas wanao kula bata Qatar wanaona majeshi yao yanazidiwa nguvu na kusogolewa ndio wakaamua kuomba msaada UN na ICJ isitishe vita ili mateka wasiokolewe.

Mchezo huo Bwana Netanyahu keshausoma. Akasema iwe jua iwe mvua, vita haitokwisha na kama ikiweekana itaendelea mpaka 2025.

Ni suala la muda tu.
Hamas wamejiandaa na hii mbungi hata kama itafika mwaka 3100
Wazayuni acheni kulia lia kakomboeni magaidi wenu wa kizayuni waliotekwa huko na wanaume
 
Usikimbilie matusi.

Tumia hoja kama kweli una hoja.

Mafala ni wale wanao unga mkono wabakaji na wauaji walio vamia nchi ya watu oktoba 7 kwa kisingizio kuwa ni wapigania uhuru.
Ila wajinga ni wale wasiojua kama kilotokea October 7 nimatokeo ya uvamizi uliofanywa na wazayuni mwaka 1948
 
Back
Top Bottom