Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,450
- 6,496
Kuwa against hakuondoi ukweli kwamba Mungu ni moja mbona kuna watu baba mmoja ila hawapendaniUnaona sasa ulivyokua mpumbavu? Nakwambia Judaism na ukristo ni kama maji na mafuta halafu unaniuliza kua kwani wakristo na wayahudi wakiamini Mungu mmoja ni tatizo!! Hivi unajielewa kweli? Unajua kua Judaism ipo against na Christianity?
Hivi una umri gani kwanza? Isije ikawa naelewesha kitoto cha Shule,halafu unaonekana akili yako kama unayo basi imeganda kama barafu.
Mbona washia na sunn wote waislamu ila wanabeef kali
Jifunze kujikita kwenye mada achana na maneneo ya kashfa na matusi
mimi hata untukane matusi yote sikasiriki lengo lako unataka nianze kuporomosha matusi kama wewe Mimi sijui kutukana