Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

Tuliwaambia Israel hawaiwezi Hamas, kiko wapi sasa?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Mungu hajasema anachukia nguruwe ila katuharamishia kula nguruwe.
Kama angekua hampendi nguruwe asingempa riziki maana kila kiumbe hai kinaruzukiwa na Mungu.
Ila hata majini ni viumbe wa Mungu mbona ninyi wakristo mnawapinga kuwa sio viumbe wa Mungu?
Eti majini viumbe wa Mungu..mbona yakiwakaba hamuendi kwa Mungu kumwambia kuwa viumbe wake wanafanya vurugu ila mnakimbilia kwa waganga kila kukicha ma huku idadi yenu inapungua kwa kuuliwa na majini.
 
Niliwaambia tokea mwanzo kuwa Israel hawaiwezi Hamas kiko wapi?

Malengo yalikua ni kuifuta Hamas jee wamefanikiwa?

Malengo yalikua ni kuiteka Gaza yote kwa muda wa wiki tatu tu kiko wapi?

Malengo yalikua ni kuweka utawala wao Gaza na kuwafurusha wapalestina wote jee wamefikia malengo?

Malengo yalikua ni kuwaokoa mateka? Hakuna hata mateka mmoja ameokolewa!! Na wanajiita jeshi bora

Kama intelijensia ya Mossad imefeli kwenye eneo la Gaza lenye Size ya nusu ya Kigamboni jee wataziweza nchi nyingine?

Unajua inashangaza sana, ajabu kweli Kweli jeshi linalopewa kila kitu kupigwa na Hamas ambao wanatumia silaha dhaifu?

Gaza ambayo imekua chini ya ukaguzi na mzingiro mkali wa Israel 24 hrs 7 days kwa miaka 17 sasa kuanzia angani hadi ardhini wameshindwa kabisa kumuokoa hata mateka mmoja?

Walichofanikiwa ni kuuua raia tu makambini na kulipua mahosptali
Hayo malengo wewe umeambiwa na nani mbona wao hawakusema hivyo....
Pia kuhusu kuifuta hamas kwani walikwambia mpkaka lini watakuwa wameifuta?
Kuhusu kuitawala nikuuluze je kuna mtu yeyote ndani ya hamas anaweza kuuza chai mtaani kwa uhuru kama hawapo huku sio kutawaliwa?
 
Acha kua mpumbavu wewe,ni wapi umepangiwa? Wewe abudu hata sanamu ulilolitengeneza wewe mwenyewe ni uamuzi wako ila usijiongopee kua unachokiabudu wewe ndio kinachoabudiwa na Judaism.
Kwamba nisiongopee we jamaa unashida kubwa sana
Kwani wakristo na wayahudi wakiamini Mungu mmoja we kinachokuuma nini au kukuongezea nini

Usipende kuishi kwa kujifariji kwa mambo amabayo hata hayakuhusu
 
Eti majini viumbe wa Mungu..mbona yakiwakaba hamuendi kwa Mungu kumwambia kuwa viumbe wake wanafanya vurugu ila mnakimbilia kwa waganga kila kukicha ma huku idadi yenu inapungua kwa kuuliwa na majini.
Kwa hiyo majini yaliumbwa na baba yako na sio Mungu?
 
Eti majini viumbe wa Mungu..mbona yakiwakaba hamuendi kwa Mungu kumwambia kuwa viumbe wake wanafanya vurugu ila mnakimbilia kwa waganga kila kukicha ma huku idadi yenu inapungua kwa kuuliwa na majini.
Kama sio viumbe vya Mungu nani kaviumba??
Inamaana Mungu wenu anachagua kipi kakiumba??
Basi yaonesha kuna alie na uwezo wa kushindana na Mungu wenu mpaka akaumba majini.
Wanaokimbilia kwa waganga sio waislam pekeake,ushirikina ni hurka ya mtu sio dini.
Wapo wakristo huko Katavi Mpanda nimefika wafipa wanaamini ushirikina hatari na jamii ya wafipa asilimia kubwa wakristo.
Mimi chochote kinachonikuta humuomba Mungu maana yeye ndiye mkusudiwa wa kila jambo ubaya na wema wote unatoka kwake maana yeye ndiye muanzilishi na muendeshaji wa kila kitu.
 
Halafu huo mjumuiko wa mashogha, makahaba n.k, waanawahenyesha wanaume wa Gaza,?? Ujinga
Huna akili ww ata ya common sense, iko hivi, Israel ni serekali kamili, in majeshi na silaha kali, pia inapokea Misaada kutoka Marekani ya Mabilioni, halafu.wao ndio wanaitawala Gaza, wamezuia mafuta,.maji na chakula karibia mwezi wa 3 sasa, wamebomoa hospitali zote kubwa ,.wamevunja asilimia 60 ya Nyumba, lakini wameshindwa kabisa kuwaokoa mateka wao kutoka kwa wanaume wa KHAMAS , kwa hio usifananishe mashoga wayahudi na Wanaume wa KHAMMAAS
 
Kwamba nisiongopee we jamaa unashida kubwa sana
Kwani wakristo na wayahudi wakiamini Mungu mmoja we kinachokuuma nini au kukuongezea nini

Usipende kuishi kwa kujifariji kwa mambo amabayo hata hayakuhusu
Unaona sasa ulivyokua mpumbavu? Nakwambia Judaism na ukristo ni kama maji na mafuta halafu unaniuliza kua kwani wakristo na wayahudi wakiamini Mungu mmoja ni tatizo!! Hivi unajielewa kweli? Unajua kua Judaism ipo against na Christianity?

Hivi una umri gani kwanza? Isije ikawa naelewesha kitoto cha Shule,halafu unaonekana akili yako kama unayo basi imeganda kama barafu.
 
Huo msaafu wewe umeusoma wote na ukauelewa na ukajua kua Allah hakusema anawapenda viumbe vyake?
Abdool, Mbusu jiwe embu punguza kurusha povu

Na uweke Aya Allah anasema anawapenda viumbe vyake , ni rahisi Sana kujibu hoja in a positive way
 
Mkuu mimi sijui kutukana kwa hiyo siwezi kukutukana ila wewe endelea kuporomosha matus sababu ndo kitu unachokijua kwa usahii
Wewe ungekua unajua usingeandika usahii ungeandika neno usahihi sasa kama hata kuandika lugha yako tu hujui utaweza kujadili jambo hapa kweli?
 
Katika kitu ambacho ni kigumu ni ku instil fear kwa jamii za waarabu.
Uharibifu Gaza haujaanza leo japo wasasa ni mkubwa zaidi.
Ila ungeona raia wanavyosema kheri kufa kuliko kunyanyasika.
Unakujua kufa au unakusikia? Sasa kama magaidi wenyewe HAMAS wanajisalimisha wasife ndo useme raia?
 
Umemaliza au bado unaongea?

Hadi sasa hivi, Jeshi la Israel linamiliki zaidi ya 85% ya Gaza,jeshi la Israel Tayari limejua walipofichwa mateka,wapo chini ya mahandaki,na magaidi ya HAMAS yametishia kuwaua wote endapo nguvu itatumika kuwaokoa.

Kwa sasa jeshi Takatifu la Israel lipo Al Yunus baada ya kuwaua HAMAS Gaza kama mbu,Iran aliyekuwa kawatuma HAMAS na wewe ulikuwa ukishinda humu kumshangilia,kaufyata mkia, Wapalestina wamekufa kama inzi kwa upumbavu wao wa kuyahifadhi magaidi ya HAMAS.

Tunaua nyoka wa HAMAS na mashimo yao tunayachoma moto na kuyafukia,kwa hiyo basi yoyote aliyemo ndani ya mashimo ya nyoka wa HAMAS lazima afe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hauna akili
 
Unakujua kufa au unakusikia? Sasa kama magaidi wenyewe HAMAS wanajisalimisha wasife ndo useme raia?
Hakuna Hamas alowahi kujisalimisha.
Pia Hamas sio magaidi kabla hawajaamua kushika silaha walikua shirika la kisiasa hao.
Raia washasema wamechoka unyanyasaji wa wazayuni hakuna wanachoogopa.
Hao waarabu sio wamatumbi bro.
 
Huna akili ww ata ya common sense, iko hivi, Israel ni serekali kamili, in majeshi na silaha kali, pia inapokea Misaada kutoka Marekani ya Mabilioni, halafu.wao ndio wanaitawala Gaza, wamezuia mafuta,.maji na chakula karibia mwezi wa 3 sasa, wamebomoa hospitali zote kubwa ,.wamevunja asilimia 60 ya Nyumba, lakini wameshindwa kabisa kuwaokoa mateka wao kutoka kwa wanaume wa KHAMAS , kwa hio usifananishe mashoga wayahudi na Wanaume wa KHAMMAAS
Israel hawana uwezo wa kuwaokoa mateka na sio Israel tu hata taifa lolote wasingeweลบa sababu ni moja. HAMAS wana mtandao wa mahandaki wa 500km underground, US alishindwa vita na Vietnam kwa sababu Vietnam waliluwa na mtandao wa mahandaki wa 250km.

USHINDI mkubwa kwa hamas ni kufanikisha kujenga huo mtandao wa 500km, na hao Israel hawakuwa wanajua kama kuna mtandao mkubwa kiasu hicho.

Pia katika vita huwezi tumia kila silaha kama unavyotaka wewe maana kuna sheria za kimataifa zitakubana.
 
Hao viongozi Hamas wako wapo mbona wamejificha kama panya, wakati kina Netanyahu tunawaona, kiko wapi vita imeisha Israel wamesalimu amri na kukimbia Gaza.
 
Lengo la Israel sio "KUIWEZA HAMAS"

Wanafahamu kabisa kuwa HAMAS ni IDEALOGY.

Kimsingi wanalenga zaidi KU_MAKE STATEMENT.

Baada ya mauaji na uharibifu wanao ufanya GAZA sidhani kama patatokea na Oktoba 7 nyingineyo.

They instill FEAR of whats to come if you JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala with them again.
Amini nakwambia ya OCTOBER 07 hayataisha mpaka Palestine ipate haki yake.

OCTOBER 07...haikuwa mara ya kwanza kwa HAMAS kuishambulia ISRAEL.

kitu pekee nachokiona mimi ni kwamba HAMAS ya jana Siyo ya leo... hii siyo HAMAS ya manati na mabomu ya petrol.
The next HAMAS itakuwa na fighter jet, advanced rockets launcher na vifaru.

Sijui itakuwa lini, ila yajayo yana sikitisha...maafa yatakuwa makubwa sana pande zote mbili.

ISRAEL bila USA ni sawa na nyuki wa mashineni.
 
Jews were and are still the people best equipped to expose the FALSE PROPHET that is they're most hated by his followers.
 
Huwezi ku instill fear kwa hawa jamaa.
Raia wenyewe kuanzia Westbank mpk Gaza wanasema kheri kufa kuliko kuteseka.
IDF vifo vinazidi ndani ya masaa 48 kuanzia vifo 187 mpk vifo 196 vya wanajeshi.
Na hamas hadi sasa wanajibu mashambulizi hapo Khani Younis.
Ni upuuzi kuwaza jeshi la nchi linaweza kushindwa na kikundi cha ugaidi.
 
Back
Top Bottom