Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Wizara husika ongezeni ubunifu; tumezoea kuona screen kubwa mtaani zikionyesha matangazo mbalimbali ya biashara. Kwa kuongeza uelewa wa Watanzania na ownership ya agenda ya royal tour Kila Mkoa ungefunga screen kadhaa maeneo yenye watu wengi watu wawe sehemu ya mashuhuda wa tukio la uzinduzi.
Bado hamjachelewa chukueni hatua; lakini pia jiulize kwanini tukio la Zanzibar la yule dada wa Nigeria limetoka kipindi hiki cha kuelekea kwenye uzinduzi huu? Msifanye uchunguzi wa kisiasa maana tukio Lile Lina athari Kwa utalii; aliyetenda na aliyetendewa wachunguzwe Kwa kina na taarifa iwe Wazi kuwajengea confidence watalii wasiwe na hofu .
All the best my country
Bado hamjachelewa chukueni hatua; lakini pia jiulize kwanini tukio la Zanzibar la yule dada wa Nigeria limetoka kipindi hiki cha kuelekea kwenye uzinduzi huu? Msifanye uchunguzi wa kisiasa maana tukio Lile Lina athari Kwa utalii; aliyetenda na aliyetendewa wachunguzwe Kwa kina na taarifa iwe Wazi kuwajengea confidence watalii wasiwe na hofu .
All the best my country