Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

Nasema tena, huyo mkurugenzi anaingiliwa na wanasiasa kwenye utendaji wake, vyema taarifa kama hizi zitoke kwa wahusika moja kwa moja, zisipitie kwa wanasiasa au vibaraka wao ambao huzichakachua kwa malengo yao binafsi.

Narudia tena hata kama hutaki kuelewa, suala la credibility hapa haliepukiki, hiyo $30 bil. mtaitoa wapi, na itakabidhiwa wakina nani ili itumike ipasavyo, huyo mwenye malengo ya urais hafai kushika hizo pesa, sema yote natumika or whatever but this is my stance kwenye hii issue, common sense huwezi mpa fisi alinde bucha.

- Winchi ya tani 26 inaingia lini nchini? muulize jamaa yako, haya majedwali yako kwangu hayana maana, nataka kujua what is going on kule field lile bwawa liishe ndio mlete habari za LNG.

Haiwezekani mradi mkubwa unaendelea haujakamilika, then mnakuja na mipango mipya ya $30bil. this is insanity!, kwa utajiri hlgani tulionao kama taifa? kama sio ndoto za urais ndio zinawasukuma kufanya haya..

Habari ya software umeiona unasema huwezi kuizungumzia, why? unataka role model wako aendelee kuchafuliwa?!

Anyway amekuja na habari ya suluhisho la kudumu kuhusu tatizo la umeme, ngoja nione kama hilo suluhisho litakuwa hiyo % kwenye graph yako ya gas ambayo bado haijachimbwa, vinginevyo, utakuwa unamzungumzia usiemjua my friend.

Mengine ya chuki uliyoandika hapa hata sitayajibu, mimi sio kati ya wale wanaooneshwa long articles with tables filled with numbers then nianze kukusifia, kabla hata sijaanza kuyasoma hayo madude najiuliza huyo anayetetewa hapa ni nani, ana rekodi gani, ndio naanza kukusoma, kama ana rekodi chafu hunipati.

Kama unadhani mimi namchukia bila sababu basi wewe mpende the choice is yourz, mtu alietafutiwa kula mpaka na dadake bullshit. Kama hili taifa lingekuwa linajali miiko ya uongozi, Makamba angekuwa historia.

Talking about reputation kwa Paskali, huyo Makamba now tell Makamba ana reputation gani? amewahi kulifanyia nini hili taifa? nachokijua kwake ni kuiba mitihani na dadake kumtengenezea njia ya kuwa waziri, huo ndio ukweli wangu unisamehe bure.
Umevuliwa nguo,chutama.
 
"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.

Inavyoonekana hawa wazito huwa wanaenda field wanapewa taarifa za kweli, lakini wao wakija kwenye majukwaa yao ya twitter wanaingiza siasa zao ili kutimiza malengo yao ovu kwa taifa, na kwa vile hawa mameneja miradi hawana uwezo wa kuwapinga, basi mafisadi wanajifanyia watakavyo.

Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu, haya mambo ni kile kinachotokea field na wala sio kutuletea namba za darasani.

Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini hii combination ya Zitto na Makamba?

Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli? tumezungukwa na circle ya wapigaji lazima tuwe makini.
Mjambiani hana akili yoyote kazi anayoweza ni kutembeza ki..aaamb****o chake huku nakule tu bila ya faida yoyote kukamilika kwa bwawa la umeme ndiyo kipaumbale no 1vtanzania siyo vinginevyo
 
Back
Top Bottom