Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Kuzaliwa tanzania kuna changamoto nyingi sana.Haya yote yanafanyika na watu wenye upeo mdogo sana waliokuwa na madaraka makubwa.
Zamani kulikuwa na taratibu kama unataka kwenda jeshini ilikuwa hakuna kupitia kama sasa wanavyo tumia JKT.
Mnawapeleka vijana JKT mnawapotezea mda wakijua watapa kwenda jeshini.
Na mwisho wa siku mnawaacha huku mtaani wakiwa na hasira.
Zamani kulikuwa na taratibu kama unataka kwenda jeshini ilikuwa hakuna kupitia kama sasa wanavyo tumia JKT.
Mnawapeleka vijana JKT mnawapotezea mda wakijua watapa kwenda jeshini.
Na mwisho wa siku mnawaacha huku mtaani wakiwa na hasira.