BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,983
Pend ya 1
Hiyo form 3 nikiwa monitor siku hiyo ikatajwa kuwa form 3 ndio tutakuwa na zamu ya kufanya usafi dinning, sasa kazi yangu mimi ilikuwa ni kuandika majina na kumkabidhi ticha wa zamu, nikafanya hivyo.
Sasa wakati inatangazwa hiyo zamu watu wakasema haiwezekani tujiridie baada ya wiki 2, sio zamu yetu ni ya form 5, raiaaa wakagoma. Mchana msosi ukaliwa, hakuna aliyesafisha, jioni pakatumika tena, hakuna aliyesafisha kasoro meza tatu walisafisha wasukuma fulani hivi. Kesho yake dinning mpaka class hakukaliki, harufu hatari.
Assemble hapo second master(Gamba) akapewa taarifa ya kule ndani hakufai, kuuliza nani wasafishaji tukatajwa, mara mjuba akaamuru form 3 wote tupite mbele waru tukakaza, akarudia tena akajitokeza mmoja, nguvu ikawa imepungua, tukapita mbele tukakalishwa chini.
Second akasema wote tuingie dinning, raia wakaenda nyuma ya dorms kupanga mipango, mimi nikawa msikilizaji tu kumbe kuna maspy sisi hatujui. Mipango ikawa ni hakuna kufanya usafi, wakawachagua darasa jingine wakashika zamu.
Head master hakuwepo, akarud akapewa mkanda mzima, mzee Mungo akafyum hatari na kabla ya hpo tukaitwa kuhojiwa kubaini nani na nani waliofanikisha mgomo, tulipigwa sana stick siku hiyo. Tukajua yameisha. Hiyo siku ijumaa tumetoka tu break ikawa hamna kurud class tena ikawa ni shamba day, kwenda kupanda.
Tuko shamba mida ya saa nane hivi kengele ikagongwa wote assemble, ile tumefika tu mr Mungo na orodha yake kaishika, tukatajwa pale na mavumbi yetu ya shamba tukaambiwa hatutakiwi kuonekana mazingira ya shule kwa wiki 3 dooooh! Hapo sina hata mia mfukoni, tukabebwa na 110 ya shule tukaenda kubwagwa stend
Hiyo form 3 nikiwa monitor siku hiyo ikatajwa kuwa form 3 ndio tutakuwa na zamu ya kufanya usafi dinning, sasa kazi yangu mimi ilikuwa ni kuandika majina na kumkabidhi ticha wa zamu, nikafanya hivyo.
Sasa wakati inatangazwa hiyo zamu watu wakasema haiwezekani tujiridie baada ya wiki 2, sio zamu yetu ni ya form 5, raiaaa wakagoma. Mchana msosi ukaliwa, hakuna aliyesafisha, jioni pakatumika tena, hakuna aliyesafisha kasoro meza tatu walisafisha wasukuma fulani hivi. Kesho yake dinning mpaka class hakukaliki, harufu hatari.
Assemble hapo second master(Gamba) akapewa taarifa ya kule ndani hakufai, kuuliza nani wasafishaji tukatajwa, mara mjuba akaamuru form 3 wote tupite mbele waru tukakaza, akarudia tena akajitokeza mmoja, nguvu ikawa imepungua, tukapita mbele tukakalishwa chini.
Second akasema wote tuingie dinning, raia wakaenda nyuma ya dorms kupanga mipango, mimi nikawa msikilizaji tu kumbe kuna maspy sisi hatujui. Mipango ikawa ni hakuna kufanya usafi, wakawachagua darasa jingine wakashika zamu.
Head master hakuwepo, akarud akapewa mkanda mzima, mzee Mungo akafyum hatari na kabla ya hpo tukaitwa kuhojiwa kubaini nani na nani waliofanikisha mgomo, tulipigwa sana stick siku hiyo. Tukajua yameisha. Hiyo siku ijumaa tumetoka tu break ikawa hamna kurud class tena ikawa ni shamba day, kwenda kupanda.
Tuko shamba mida ya saa nane hivi kengele ikagongwa wote assemble, ile tumefika tu mr Mungo na orodha yake kaishika, tukatajwa pale na mavumbi yetu ya shamba tukaambiwa hatutakiwi kuonekana mazingira ya shule kwa wiki 3 dooooh! Hapo sina hata mia mfukoni, tukabebwa na 110 ya shule tukaenda kubwagwa stend



