Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Nimekumbuka tulipigwa Per la wiki 3,pale TosaBoyz.Kuna jamaa flani walidakwa na stimu za kuranduka (mjani,a.k.a mneli) wakiwa na mzigo Mashushu wakachoma.Walipelekwa lupango kituo cha kati.Sasa kiubabe eti tunaenda kuwatoa wenzetu kituo cha polisi.Bwana bwana kilichotokea huko (kuna vijana walipoteza maisha_R.I.P).Baada ya shughuli zote WANAFUNZI WOTE tukala Per la wiki 3 na miamba Vinala Hatua stahiki,na wale wote majeruhi pia walizingatiwa ipasavyo.Kimbembe kurudi home huna nauli (mbona mitaa tuliijua bila kupenda)
Eeeh mkavamia kituo cha polisi Ipamba halafu wanakijiji wakashika sime na mishale..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilipigwa suspension nikiwa nimebakiza wiki mbili kabla ya necta form four,sintosahau Mama yangu alivyokuja anatoa machozi,kisa ilikuwa kukataa kupigwa fimbo za kushitukizwa zisizokuwa na kipimo wala eneo maalumu la kupiga,nikasamehewa,na sintosahau ile tunaanza necta kwa kuanza na hesabu niliadhibiwa na headmaster fimbo za kushika kucha,afu ndo uruhusiwe kuingia kwenye chumba cha mtihani.Nilipata F mtihani wa hesabu kitu ambacho kilinifanya kupata division three japo nilipata one,kwasababu ya penalty ya F ya hesabu.
Hukua tu unajua hesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipigwa mara 3, form one, form 3, na Form 4 nilipigwa ile suspension isiyo na muda mpaka kikao cha Bodi kikae,

Walikuja kukaa wiki moja kabla ya Necta, nikapiga pepa na kupita hivi,

Uchakataji huu ulinitia hasara sana,

Kosa:
Hiyo supsension ya Form 4.
Nilimlimtorosha dogo wa hostel na kwenda kulala naye gheto Asubuhi namrudisha tukafumwa na Matron.

Sent using Jamii Forums mobile app
mr zero Iq on the movie..... Hahah! A real motivational speaker with in Jf platform

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipigwa Spar 3 kwa muda tofauti tofauti hapo Tarime mwishowe wakanipuga jumla nisubir pepa la 4
 
Back
Top Bottom