EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,702
- Thread starter
- #21
Sio watoto wa majengo secondar? Enzi za brother Lyimo
So wana kibao ukakaa nao home?Mbalizi Sec enzi ya Mwampoma tulikula spa na wana kibao cha kushangaza tulipofika stendi raia wakaomba niende nao home maana hawajui wataambia nini wazazi.
Sent using OPPO Mobile Phone
Nazingua huyo jamaa aliyekula maisha gerezani na fimbo 50 huko iringa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tall mweusi alikuwa mchizi wangu saana classmate wangu enzi za Msinjili headmaster
Duuh! ama kweli "loho" ilikuuma!! Pole sana!~ nimewahi kupewa suspension kanisani kwa kosa LA kuiba kibubu cha sadaka~ da yaani sitosahau aisee loho iliniuma sana Ila yote kwa yote namuachia jizaz amen.
Loho ikikuuma meno hauendi dalesilamu!!!
Mh Hilo tukio lilitokea mwaka gan coz mi nilipitia hapo o-levelTosamaganga nilikula suspension ya wiki 4. Kisa ilikua chakula wanafunzi tulilalamika msosi mbovu. Kuna jamaa alikuja na info sijui kazitoa wapi kwamba kila mwanafunzi wa boarding inatakiwa ale msosi wa elfu 6 kwa siku. Ila chakula tunachokula kwa siku hakina ata thamani ya elfu 2. Basi jioni tunaongea kama vikao maroom tunapita room kwa room kumbe mshikaji mmoja alikua spy...
Wapo waliokaa mpaka siku tunarudi shule ila wengine wazazi wao waliwaomba waende kwao wakaondoka.So wana kibao ukakaa nao home?
Kuna jamaa alilala darasani nikamuandika Kwenye shati na marker pen, NINA K*#MA TAMU
Jamaa alikuwa form4 lakini alikuwa age imeenda kidogo,midevu na misharubu imejaa halafu alikuwa wale washkaji too much know,ambao rafiki zake wengi ni madem
Alipoaamka ilikuwa break time ...sasa kipindi anazurula mda wa break kutafuta sifa akawa anashangaa madem wanamcheka,kuwauliza nini? Wakamwambia ana maandishi nyuma ya shati...jamaa alipoyasoma akaanza kulia akaja pale Dukani akatukuta backbenchers tunakula akaja akauliza huku analia oya mazee nani kaniandika mgongoni?...itaendelea




) akaturudshia tukaacha nyoya.
(na hata assemble akuepo)