Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Nikiwa Form 5 Moringe Sokoine Sec tuligoma A-level wote kisa kukataa kufanya usafi dining na library wakati huo Lowasa akiwa Waziri wa Maji na ndio Mwenyekiti wa bodi ya shule tukapigwa suspension ya miezi miwili wanafunzi 9 na turudi na wazazi...
Mi nilikua naishi na anko wangu alikua RPC mkoa fulani Kanda ya ziwa . Nikapelekwa kusoma huko o level huku nikiishi nae ili aninyooshe mana nilikua mtukutu kweli nishafumwa na kesi nyingi zikiwemo ugomvi, wizi, utoro, uzinzi na ganja

ila niliishia kupata adhabu ndogo siku niliopewa suspension nilifungua tyre ya rand rover ya shule iliokua imeharibika imepaki muda mrefu nikaenda kuiuza nikishirikiana na rafki yangu ambae sa hivi ni mtu maarufu.Nitakuja kutoa full story nikitulia nashkuru wadhifa wa anko ulinibeba sana, utoto bhana ahsante mungu leo hii nimebadilika kiasi kwamba najisikia vibaya hata kukumbuka matukio ya nyuma.
 
Mi nilikua naishi na anko wangu alikua RPC mkoa fulani Kanda ya ziwa . Nikapelekwa kusoma huko o level huku nikiishi nae ili aninyooshe mana nilikua mtukutu kweli nishafumwa na kesi nyingi zikiwemo ugomvi,wizi,utoro,uzinzi na ganja ila niliishia kupata adhabu ndogo siku niliopewa suspension nilifungua tyre ya rand rover ya shule iliokua imeharibika imepaki muda mrefu nikaenda kuiuza nikishirikiana na rafki yangu ambae sa hivi ni mtu maarufu.Nitakuja kutoa full story nikitulia nashkuru wadhifa wa anko ulinibeba sana, utoto bhana ahsante mungu leo hii nimebadilika kiasi kwamba najisikia vibaya hata kukumbuka matukio ya nyuma.
We jamaa balaa hadi tairi ya gari ya shule unaiba?? we ulishindikana aisee
 
St. Matthew mwaka fulani nikiwa form five... siku tuliyofungua shule baada ya likizo fupi. Ni siku hiyo hiyo tumepitia Bank kulipa ada na mom, kisha tukaelekea shule.

Baada ya kufikishwa shule mom akaondoka Ilikuwa kama saa tisa hivi. Saa kumi na moja nakamatwa na magendo na suspension juu.

Sitaisahau hiyo siku narud nyumbani mama alilia kama mtoto aisee Mungu anisamehe tu ila ulikuwa ni utoto tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hatari sana mkuu
 
Form 3 Niligoma kuchapwa na mkurugezi wa shule hii nilipewa ya mdomo ( Sikutaki kwenye shule yangu) Nilifurahi sana kauli ile sababu nilikuwa shaichoka shule...
bahati yako mkuu
 
Wale waliopitia seminary wanaelewa
Nilukuwa sacristia master enzi hizo sasa bana nilikuwa nachakata sana ile alter wine na zile hostia kabla hazija barikiwa nilifumwa hiyo dahhh sitasahau ni aibu kubwa mno maana ile taarifa ilifika mpaka parokiani na mm ndo nilikuwa kijana pekee kwenye parokia ile yan dahhh hatar sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilipigwa suspension nikiwa nimebakiza wiki mbili kabla ya necta form four,sintosahau Mama yangu alivyokuja anatoa machozi,kisa ilikuwa kukataa kupigwa fimbo za kushitukizwa zisizokuwa na kipimo wala eneo maalumu la kupiga,nikasamehewa,na sintosahau ile tunaanza necta kwa kuanza na hesabu niliadhibiwa na headmaster fimbo za kushika kucha,afu ndo uruhusiwe kuingia kwenye chumba cha mtihani.Nilipata F mtihani wa hesabu kitu ambacho kilinifanya kupata division three japo nilipata one,kwasababu ya penalty ya F ya hesabu.
Duuuh . . . pole sana
 
SIKU YA SUSPAA KUISHA NIKAKODI LI BRAZA FULANI HIVI LIWE BABA YANGU KWA SABABU MASHARTI YA SASPA YALITAKA NIJE KUREPORT NA MZAZI
Daaah . . . huuu mtindo uliwahi kumgharimu mtu mmoja baada ya mzazi bandia kubanwa sana ikabidi aseme amekodiwa . . Jamaa alikula fimbo za kutosha
 
Si walimu hawakuwa wanafuatilia kabisa ingawa haikuwa wazi kwamba basi ndo mzurule muda wote ila watu walikuwa free sana kama wapo day school vile, uzuri wengi walikuwa wanazamia mashule jirani kupiga pindi kwakuwa kwetu kulikuwa na upungufu mkubwa wa walimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tumeiishi sana government schools... na Mungu alivyo mkubwa wengi wanapasua balaa
 
Back
Top Bottom