Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Mimi nikiwa advance wakati wa inspection ikakamatwa picha kwenye picha nilionekana nimeshika simu sasa descpline master alitaka hiyo simu niligoma sana nikaoigwa pendi week 3 ile narudi wakasema bila simu nirudi home nilikasirika nikawajibu labda nirudi home mwalimu nikawanunulie simu wakasema wewe mtoto mpumbavu kweli nenda darasani kesi ikaisha

sente using my infinix
watotot wa juzi na simu zipi kabisa, mnatongozana kwa wasap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nililamba suspension baada ya kuvunja viti vya shule na kuuza miguu yake kama vyuma chakavu

Halafu vile vyuma vilikuwa sio steel sijui wanaita brass value yake si mchezo viti vya shule za wakoloni, bodi ilibidi ikae na kuniruhusu kufanya mtihani maana nilikuwa kichwa hapo shule sikuwa nnajisomea ila ikija pepa A au B, nilijulikana kama mtoro, mtukutu, musician, bishoo na genius

Siku nimeitwa nirudi shule nilikuwa nishaachana kabisa na mambo ya shule nilitumiwa ada & pocket money nikafungua ki grocery, hapo nikafungua local car wash nikaita madogo wakiosha gari 5000, 3000 yangu, baadae nikaamua kurudi shule, mzee alipojua alinimind sana ikabidi niachane na hizo biashara nikarudi full time shule hapo bado kama mwezi mtihani, nikalamba zangu div 3 bila woga... ila ile experience ilinifanya nikaijua hela aisee nilikuja kufungua vi bar vya kutosha dsm mpaka nilipoamua rasmi kuachana nazo
Tukutane kesho 4.1.20
maana we jamaa ni simba damu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekumbuka tulipigwa Per la wiki 3,pale TosaBoyz.Kuna jamaa flani walidakwa na stimu za kuranduka (mjani,a.k.a mneli) wakiwa na mzigo Mashushu wakachoma.Walipelekwa lupango kituo cha kati.Sasa kiubabe eti tunaenda kuwatoa wenzetu kituo cha polisi.Bwana bwana kilichotokea huko (kuna vijana walipoteza maisha_R.I.P).Baada ya shughuli zote WANAFUNZI WOTE tukala Per la wiki 3 na miamba Vinala Hatua stahiki,na wale wote majeruhi pia walizingatiwa ipasavyo.Kimbembe kurudi home huna nauli (mbona mitaa tuliijua bila kupenda)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimecheka san, mimi shule nilikua father, father maana ya ujana sijui ndo nini, ila tu nilikoswakoswa na per kisa dem, kesi iliisha baada ya kutembeza kiasi kidogo cha pesa kwa walimu mwishoe dem ndo akaamishwa shule, ila hii ishu niliizima mwenyewe bila wazazi kujua.
 
nimecheka san, mimi shule nilikua father, father maana ya ujana sijui ndo nini, ila tu nilikoswakoswa na per kisa dem, kesi iliisha baada ya kutembeza kiasi kidogo cha pesa kwa walimu mwishoe dem ndo akaamishwa shule, ila hii ishu niliizima mwenyewe bila wazazi kujua.
Bahati yako aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ticha flani alikuwa anaitwa Shoo pale Umbwe secondary , alikuwa mnoko sana..siku ya siku alituona na masela tunaenda Kombo (Gulioni). ilikuwa jmosi...kufika jtatu akaniita tu mimi alafu akanipiga paa ya mwezi mzima...
Hahhahaaa Shoo alikua mnoko sana aixee... Ukikutana nae town hata kama una kibali halafu hujavaa uniform ukirudi lazma akuzingue..
 
Back
Top Bottom