Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,250
- 2,314
Soma Post No 40, siyo mnakurupuka tu kujibu.!!We unadhani kila mtu hakwami ?anapokusaidia na yeye anajua siku akikwama mtu wa kwanza kumsaidia ni wewe,hiyo hata si kuhongana,hivi mfano unamwona mpenzi wako kakwama na anashida we unamwangalia tu?we unadhani je siku we ukikwama atakusaidia nani.
MONEY STOP NONSENSE
Crap..!Acha waombe kwani we ukiomba unakuwaga kilema? Si mnataka 50/50 mtakoma, mambo yamebadilika jitambue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma Post No 40, siyo mnakurupuka tu kujibu.!!
Kwa sasa hivi ushaacha utoto,huwezi msaidia pesa mpenzi wako?Zamaani wakati bado mtoto kuna kijana nilikuwa na mahusiano nae, siku moja alienipigia simu akasema ameenda kwao amekuta wamekatiwa umeme mita ilikuwa na deni sijui ilikuwaje sikumbuki vizuri. Inatakiwa walipe elfu themanini kama sikosei na yeye pesa hana.... akasema niazime pesa nitakurudishia mshahara ukitoka. Nikamtumia na nilipanga nimpe tu ila yeye sikumwambia, kama mkosi vile ndani ya kipindi kifupi mahusiano yakaanza kuyumba na pesa yangu hata hajaonesha nia ya kurudisha, nikamkumbusha akaanza kupiga chenga ooh sina hela sasa hivi hela yako nitakulipa, nikamwambia nilipe sasa hivi. Akaanza kutoa povu nikasema hata sijali, fanya unilipe. Ooh basi ngoja nikope nikulipe,nikasema fanya hivyo. Alinirudishia huku ananisimanga, ndio tukawa tumemalizana. Hapo sikumhesabia elfu tano tano alizokuwa 'anaazima' bila kurudisha.
Alaa kumbe wameulizwa wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sijui mkuuKwa sasa hivi ushaacha utoto,huwezi msaidia pesa mpenzi wako?
Mzee mmoja wa makamo aliwahi kuniambia, kamwe mwanaume asikubali kupewa pesa na mwanamke, kama atapewa akiwa na shida flani basi ahakikishe anamrudishia hata kama mwanamke akiikataa yeye anapaswa alazimishe aipokee.... Pesa ya mwanamke ina masimango sana, ukizoea kupewa pesa na mwanamke kwa kigezo cha kusaidiana basi kubali kudharauliwa, atakutangaza kwa kila mtu atakayeongea nae, utadharaulika, kwa mwanamke pokea zawadi tu usipokee pesa, Acha mara moja hiyo tabia utaaibika.Dada sio katiba, eti mwanamke hawez msaidia mwanaume in terms of money.
Shida tumeumbiwa binadamu alafu ukizingatia ulie nae ni ur other half kwanini usimuombe akusaidie pale unapokwama.
Km mnavyotuomba tukiwa na shida na sisi pia sio dhambi kuwaomba tukiwa na shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hili tangazo,ngoja wajuba walione...kazi kwao!
Me mwenyewe majuzi kati nlikua nataka ninunue luku sikua na pesa kwa muda huo na tulikua nae akanipa 5000 ila kiukweli sikua na amani kabisa jana kanipiga mzinga wa 20000 knikajua hapa inaombwa ile hela yake kijanja nikamtumia 22 fastaMzee mmoja wa makamo aliwahi kuniambia, kamwe mwanaume asikubali kupewa pesa na mwanamke, kama atapewa akiwa na shida flani basi ahakikishe anamrudishia hata kama mwanamke akiikataa yeye anapaswa alazimishe aipokee.... Pesa ya mwanamke ina masimango sana, ukizoea kupewa pesa na mwanamke kwa kigezo cha kusaidiana basi kubali kudharauliwa, atakutangaza kwa kila mtu atakayeongea nae, utadharaulika, kwa mwanamke pokea zawadi tu usipokee pesa, Acha mara moja hiyo tabia utaaibika.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Uko sawa kabisa hela ya mwanamke ukiichukua hata kama alikupa bure,siku ukiwa na hela mwambie hii hapa pesa yako ulinipa kipindi kile,usimpe indirect mwambie direct hii hapa ulinipa nimekurudishia.Mzee mmoja wa makamo aliwahi kuniambia, kamwe mwanaume asikubali kupewa pesa na mwanamke, kama atapewa akiwa na shida flani basi ahakikishe anamrudishia hata kama mwanamke akiikataa yeye anapaswa alazimishe aipokee.... Pesa ya mwanamke ina masimango sana, ukizoea kupewa pesa na mwanamke kwa kigezo cha kusaidiana basi kubali kudharauliwa, atakutangaza kwa kila mtu atakayeongea nae, utadharaulika, kwa mwanamke pokea zawadi tu usipokee pesa, Acha mara moja hiyo tabia utaaibika.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Ulifanya jambo zuri sana kumpa na nyongeza... trust me ile elfu 5 ilikua inamkosesha amani hadi akilala anaweweseka.Me mwenyewe majuzi kati nlikua nataka ninunue luku sikua na pesa kwa muda huo na tulikua nae akanipa 5000 ila kiukweli sikua na amani kabisa jana kanipiga mzinga wa 20000 knikajua hapa inaombwa ile hela yake kijanja nikamtumia 22 fasta
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam, ukijifanya ooh kanipa kwa mapenzi yake siku atakayokudhalilisha hutoamini kama ndie yule wa siku zote mwenye tabasamu na bashasha.Uko sawa kabisa hela ya mwanamke ukiichukua hata kama alikupa bure,siku ukiwa na hela mwambie hii hapa pesa yako ulinipa kipindi kile,usimpe indirect mwambie direct hii hapa ulinipa nimekurudishia.
Unaparamia makurumembe mzee, mademu yameumizwa kwenye mapenzi hadi mioyo yao imekuwa sugu, Tafuta watoto waliositaarabika mzee, wanaotoka katika familia bora, hawatafuti mwanaume kwa ajili ya kodi bali wanataka mapenzi..Siku nikipokea hiyo bahati nafikiri ndo itakuwa dalili ya kuwa sitaenda motoni..
Sijui ninamkosi kutoka dunia ipi maana kusema hata ile mia kwamba mtoto wa kike anipe kwamba nikale hata pipi sijawahi..[emoji28]
Nimeamini Mungu na waungwana shetani na wahuni..[emoji28]
Ha ha! Ati makurumbembe😂😅Unaparamia makurumembe mzee, mademu yameumizwa kwenye mapenzi hadi mioyo yao imekuwa sugu, Tafuta watoto waliositaarabika mzee, wanaotoka katika familia bora, hawatafuti mwanaume kwa ajili ya kodi bali wanataka mapenzi..
Sent using Jamii Forums mobile app