AMLIGHT
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 1,140
- 824
Develop Your Strategy And Be A Consistent Profitable Trader.
Kuna matatizo mengi linapokuja suala la kutrade.
Kuna kuchoma akaunt, kuna kuhold reds, kuna kupigwa kwa stop loss...
Je, umejiandaa vya kutosha kuweza kuhimili mikiki mikiki ya market?
Unajua wapi unapaswa kuopen trade, na wakati gani unatakiwa kufunga?
Unaweza jua, kuna hatua 3 muhimu ambazo hupaswi kuzi overlook.
Ukiipita na kuiacha moja, hali yako itakuwa mbaya...
1. SOMA.
Hakuna option nyingine hapa. Ni kusoma tu. Kuna vitabu vingi vya strategy tofauti tofauti ambazo unaweza kutumia, na kuapply ile unataka...
Kwa sbb wengi humu hawana access na vitabu, nliamua kuanzisha channel telegram ili iwe rahc kupata vitabu ambavyo vinaweza kusaidia kupata elimu ya haya mambo.
Vitabu vinapatikana hapa FX Trading Books
2. DEMO TRADING:
Hii hutumia virtual money, ambayo broker anaiweka katika akaunt ili uweze kujifunzia.. Hapa utajifunza kutrade, na hasa kujua nini ni nini... Kuanzia kufungua position na matumizi ya kawaida ya MT4...
Na kama ukikosea, the money you loose is not yours... Lakini ukipata faida, the profit is not yours, too..
3: LIVE TRADING:
Mimi binafsi, nimeigawa hii sehemu mbili, kuna accounts za cent/micro accounts na zile za standard akaunt...
Ni nzuri kama utaamua kutrade kwanza na cent account kabla ya standard account.
A. CENT ACCOUNT: Hii mimi huitumia kama Live demo. Akaunt ya namna hii unadeposit $1 na katika trading platform inasoma 100cents. (inakuwa 100).
Faida ya akaunti hii ni kukuandaa kwa kukupa REAL STRESS, EXCITEMENT, FEAR wakati trades zinapoenda kinyume na matarajio... Na kukupa CONFIDENCE wakati analysis iko poa.
B: STANDARD (UNIVERSAL) ACCOUNT: Akaunti hii ni ile ambayo kiasi kilichowekwa, kinakuwa sawa na kile kitakachokuwa katika trading platform... Na ukipoteza $1 umepoteza $1, tofauti na Cent akaunt ambayo utapoteza $1 kama utapoteza points (cents) 100 katika trading account.
Bila kutumia Cent akaunt, stress za hapa huwa ni ngumu sana kuvumilika...
USHAURI WA MWISHO:
Kosa kubwa tunalofanya wakati mwingine ni kutumia demo ya broker A na kisha kutumia live trading ya broker B.
Ikumbukwe kwamba kila broker ana settings zake, ana kuna tofauti ya spreads, kuna wengine wana commissions na wengine hawana, kuna wengine wana fixed spreads na wengine floating spreads...
Ni muhimu sana kama umeamua kutumia broker flan ni nzuri kama utamtumia huyo kuanzia demo, cent na standard account.
Hii itakusaidia kumzoea broker wako na kumtumia kwa urahisi.
Kuna mabroker wengi, lakini ni wachache wanatoa huduma za demo, cent na standard account.
Baadhi yao ni Templer FX na FBS
Remember: read more than you trade!
Read. Demo.Live. Repeat.
Kuna matatizo mengi linapokuja suala la kutrade.
Kuna kuchoma akaunt, kuna kuhold reds, kuna kupigwa kwa stop loss...
Je, umejiandaa vya kutosha kuweza kuhimili mikiki mikiki ya market?
Unajua wapi unapaswa kuopen trade, na wakati gani unatakiwa kufunga?
Unaweza jua, kuna hatua 3 muhimu ambazo hupaswi kuzi overlook.
Ukiipita na kuiacha moja, hali yako itakuwa mbaya...
1. SOMA.
Hakuna option nyingine hapa. Ni kusoma tu. Kuna vitabu vingi vya strategy tofauti tofauti ambazo unaweza kutumia, na kuapply ile unataka...
Kwa sbb wengi humu hawana access na vitabu, nliamua kuanzisha channel telegram ili iwe rahc kupata vitabu ambavyo vinaweza kusaidia kupata elimu ya haya mambo.
Vitabu vinapatikana hapa FX Trading Books
2. DEMO TRADING:
Hii hutumia virtual money, ambayo broker anaiweka katika akaunt ili uweze kujifunzia.. Hapa utajifunza kutrade, na hasa kujua nini ni nini... Kuanzia kufungua position na matumizi ya kawaida ya MT4...
Na kama ukikosea, the money you loose is not yours... Lakini ukipata faida, the profit is not yours, too..
3: LIVE TRADING:
Mimi binafsi, nimeigawa hii sehemu mbili, kuna accounts za cent/micro accounts na zile za standard akaunt...
Ni nzuri kama utaamua kutrade kwanza na cent account kabla ya standard account.
A. CENT ACCOUNT: Hii mimi huitumia kama Live demo. Akaunt ya namna hii unadeposit $1 na katika trading platform inasoma 100cents. (inakuwa 100).
Faida ya akaunti hii ni kukuandaa kwa kukupa REAL STRESS, EXCITEMENT, FEAR wakati trades zinapoenda kinyume na matarajio... Na kukupa CONFIDENCE wakati analysis iko poa.
B: STANDARD (UNIVERSAL) ACCOUNT: Akaunti hii ni ile ambayo kiasi kilichowekwa, kinakuwa sawa na kile kitakachokuwa katika trading platform... Na ukipoteza $1 umepoteza $1, tofauti na Cent akaunt ambayo utapoteza $1 kama utapoteza points (cents) 100 katika trading account.
Bila kutumia Cent akaunt, stress za hapa huwa ni ngumu sana kuvumilika...
USHAURI WA MWISHO:
Kosa kubwa tunalofanya wakati mwingine ni kutumia demo ya broker A na kisha kutumia live trading ya broker B.
Ikumbukwe kwamba kila broker ana settings zake, ana kuna tofauti ya spreads, kuna wengine wana commissions na wengine hawana, kuna wengine wana fixed spreads na wengine floating spreads...
Ni muhimu sana kama umeamua kutumia broker flan ni nzuri kama utamtumia huyo kuanzia demo, cent na standard account.
Hii itakusaidia kumzoea broker wako na kumtumia kwa urahisi.
Kuna mabroker wengi, lakini ni wachache wanatoa huduma za demo, cent na standard account.
Baadhi yao ni Templer FX na FBS
Remember: read more than you trade!
Read. Demo.Live. Repeat.